Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Msaada jamn mwenye anajua jins ya kupata scholarships za degree upande wa afyaaa
 
Scholarship kwa undergraduate studies, thailand. find the attachments.
Deadline: 30th April 2017
Nimeattach na application form.
IMG-20170323-WA0146.jpg
IMG-20170323-WA0148.jpg
IMG-20170323-WA0150.jpg
IMG-20170323-WA0152.jpg
IMG-20170323-WA0154.jpg
IMG-20170323-WA0154.jpg
IMG-20170323-WA0156.jpg
IMG-20170323-WA0163.jpg
 

Attachments

Unamaanisha nje ya Tanzania? Kama nje ya Tanzania sidhani kama unaweza kupata hiyo scholarship, maana utaonekana wazazi wako wana uwezo wa kifedha. Unless kama nje ulisoma kwa ufadhili, ambapo itabidi uambatanishe ushahidi.

Hiyo scholarship ina target watu kutoka familia zenye uwezo kidogo. Na ni vigumu sana kudanganya. Maana moja ya application document ni financial questionnaire, ambayo ina maswali lukuki juu ya hali ya kifedha ya mwombaji.
Mbona naona kama kuna malipo unatakiwa ulipe au sijaelewa
 
Halafu kama ungeweka link za online application ingekua poa mkuu.
ndio....
1. Petrochemical and Polymer Engineering
2. Material Innovation and Design Engineering
3. Civil Engineering
4. Mechanical Engineering
5. . Integrated Agricultural Technology and Food Safety Management (nafasi ni 5 kwa kila kozi)
sawitree_eng@g.sut.ac.th
Email zote za docs kwa anuani hiyo
Link: http://web.sut.ac.th/asean/
Zinaoneshwa kama kwa ajili ya Aseans, but ukweli ni kuwa ni kwa ajili ya International students wote. Ombeni vijana.
 
Mbona naona kama kuna malipo unatakiwa ulipe au sijaelewa
hulipi chochote ukipata scholarship. huo ni mchanganuo wa ada na michango.
ukipata hiyo ni full.
utajigharamia visa na nauli ya kuja huku tu
 
Back
Top Bottom