Ananias Salvatory
Member
- Jul 25, 2016
- 24
- 13
Kwani nyaraka zinazohtajika hapo ni kama zipi,? Naomba unielekeze tafadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mchanganyiko wa vitu tofauti, na kwa hatua maalum unaweza kuongeza ama kupunguza kutegemeana na mahitaji yako..weka oda yako Leo.Hivi unatengenezwa kwa Mchanganyiko gani hasa Nasikia mzuri sana
Mwaka mmoja, karibu sana..kuwa makini usije kujing'ata ulimiDoh unakaa siku ngapi mi ntaununua niule tu,..
Hellw....jumla lita kumi ubuyu mingapi??Habari, kwa wapenzi wa ubuyu na wajasiriamali,tunauza ubuyu mtamu wa Zanzibar,tupo Zanzibar na tunautuma mpaka bandarini dar es salaam kwa sh. 28,000 tu kwa ndoo ndogo ya Lita 10.gharama ya usafirishaji ni juu yetu wewe uje bandarini tu kuupokea,kwa mikoani utagharamia usafiri wa kutoka bandarini dar es salaam mpaka ulipo
Tunapokea oda ndio unapikiwa ili upate fresh na utasema kama utokee pili pili ama laa kutegemea na mahitaji yako. Kwa wanaofahamu bei halisi ya ndoo ndogo nje ya Zanzibar watajua kwamba hii ni offer ambayo hutakiwi kuikosa.
KARIBUNI SANA
Mawasiliano wasapp/SMS/call no. 0713763595
Haujafungwa kwenye pacti Bali umepimwa kwa kipimo hicho cha ndoo ndogo..karibuHellw....jumla lita kumi ubuyu mingapi??
Ahsante kwa kulitambua hilo karibu.ngoja nisave huu uzi ubuyu ni hbr ya mjini
Hapana huu si wa Mzee issa ila kama ningekudanganya nikakwambia ni wa nzee issa kama wafanyavo wengine basi ungepata uzito wa kutofautisha kwa kufanana product yake.Je, huu ndo ule wa mzee Issa, au ni tofauti? Nadhani kinachofanya ubuyu wa Zanzibar uwe maarufu ni fomula ya upishi wa mzee Issa, siyo tu kwa kuwa unatokea Zanzibar
Mazoea yana taabuacha niseme kweli tu mie nilijua kuna umbea!
hilo neno tumelizoea vibaya