Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Scholarship ambazo application deadline zake zimeshapita na waliokuwa wakizipokea ni TCU, unajuaje kama umepata hasa sisi wa mikoani? Kwenye website ya TCU kuna kitu kama hicho cha ku-update scholarship application progress??
 
Kwa uandishi wako,hata hiyo scholarship hutapata maana mara nyingi huwa wanapewa watu ambao ni genius.
 
Wewe ata hiyo scholarship ushaikosa kama mwandiko wako ndivyo ulivyo ki schoolership
 
Mwisho kutuma maombi: 15 Aug 2017 (annual)
mahali: New Zealand
Muda wa kuanza kozi:2018
Brief description:
The University of Canterbury offers the UC International First Year Scholarship to top-achieving international students commencing an undergraduate degree programme at the University.


Host Institution(s):
University of Canterbury, New Zealand


Level/Field(s) of study:
Eligible Bachelors Degree Programme offered at the University

WALENGWA:
Wanafunzi kutoka popote duniani isipokuwa New Zealand na austria


Scholarship value/duration:
The scholarship is currently awarded with values of $10,000, $15,000 or $20,000. kwa mwaka mmoja

tafuta: Welcome to the University of Canterbury, New Zealand - Nau mai, haere mai ki te Whare Wananga o Waitaha - Christchurch - New Zealand | University of Canterbury
 
Nenda jukwaa la biashara unatuharibia Uzi kwa habari zako za ubuyu wakati watu wameanzisha kwa ajili ya scholarship
Hapana mkuu Kuna tatizo la kiufundi limetokea nilijaribu kuuliza huko juu lakini hakuna aliyenijibu yaani nilianzisha Uzi wangu ktk jukwaa la biashara, lakini cha kushangaza ukiclic unakua directed huku kwenye scholarships
 
Habari wakuu, natumai mnaendelea poa na majukumu ya kujenga maisha bora ambayo yana unafuu kuliko jana.

Kama heading inavosomeka ni kuhusu tu kupeana taarifa mbalimbali juu ya mambo mbalimbali yanahusu scholarship na sponsorship ikizingatiwa kwamba humu jamvini ni mahala ambapo kuna watu wenye kariba mbali mbali, uwezo mkubwa wa kuchekecha mambo, uwezo mbalimbali wa kipato, exposure ya kiwango cha lami na pia wapo waliowahi kufaidika na mada niliyoiwasilisha.

Ukiachilia mbali hamu wanayokua nayo Graduates wengi juu ya jambo hili haiondoi ukweli kwamba hua wanakwama sana kutokana na sababu mbalimbali ambazo nimejaribu kuziorodhesha kama ifuatavyo :-

* kukosa taarifa au kupata taarifa kwa kuchelewa

* masharti ambayo hayaeleweki kwa baadhi ya graduates, hii husababishwa na lack of exposure juu ya mambo haya

* kukata tamaa kwasababu ya kujaribujaribu mara kadhaa bila kufanikiwa

Karibuni sana Graduates na Mkuu yoyote ambae unaguswa na suala hili ili tusaidiane, tubadilishane mawazo kwa pamoja na kushare uzoefu ambao baadhi yenu mmeupitia.

form1
 
Habari wakuu ,hivi ni document zipi za muhimu zinahitajika kabla ya kuomba scholarship na zinapatikanaje??
 
Jambo wakuu. Sipendi kuwasumbua kwa maneno mengi maana najua kutokana na hali halisi ya sasa hivi, mtu hachelei kukukwaa kwenzi kwa jinsi hali imekuwa ngumu kila kona. Kwa wale wanaojilia vyao bila kelele wala mikwaruzo Mungu aendelee kuwakirimia. Mimi ni mzazi peke mwenzangu alishatangulia makao ya milele.

Nilibaki na dogo bado mdogo nimejitahidi anamaliza chuo kikuu mwaka huu. Kwa bahati mbaya sana mkopo alipata robo tu kwa hiyo robo tatu nilikuwa najipigapiga kwa kuungaunga mpaka sasa anamaliza 4 yrs. Sasa anatamani kufanya masters na sijui ataanzia wapi.

Naombeni ushauri na msaada wa mawazo nifanye nini au nipite wapi aweze kufanikiwa please. Najua kuna watakaobeza na kushoboka na kejeli nyingi lakini yote hayo hayatabadili kwamba mtoto anapenda kusoma na wala haitafanya wanaotaka kunisaida waaache.

Kwa hiyo nakuomba ndugu kama unaona hili jambo halikupendezi usiandike cho chote cha maudhi maana mapito niliyopitia yameshatosha usisugue chumvi kwenye kidonda tafadhali, we pita kimyakimya tu. Ahsanteni wadau
 
Jambo wakuu. Sipendi kuwasumbua kwa maneno mengi maana najua kutokana na hali halisi ya sasa hivi, mtu hachelei kukukwaa kwenzi kwa jinsi hali imekuwa ngumu kila kona. Kwa wale wanaojilia vyao bila kelele wala mikwaruzo Mungu aendelee kuwakirimia. Mimi ni mzazi peke mwenzangu alishatangulia makao ya milele. Nilibaki na dogo bado mdogo nimejitahidi anamaliza chuo kikuu mwaka huu. Kwa bahati mbaya sana mkopo alipata robo tu kwa hiyo robo tatu nilikuwa najipigapiga kwa kuungaunga mpaka sasa anamaliza 4 yrs. Sasa anatamani kufanya masters na sijui ataanzia wapi. Naombeni ushauri na msaada wa mawazo nifanye nini au nipite wapi aweze kufanikiwa please. Najua kuna watakaobeza na kushoboka na kejeli nyingi lakini yote hayo hayatabadili kwamba mtoto anapenda kusoma na wala haitafanya wanaotaka kunisaida waaache. Kwa hiyo nakuomba ndugu kama unaona hili jambo halikupendezi usiandike cho chote cha maudhi maana mapito niliyopitia yameshatosha usisugue chumvi kwenye kidonda tafadhali, we pita kimyakimya tu. Ahsanteni wadau
Hongera mkuu kwa kuweza kugharamia masomo ya kijana wako mpaka anafanikiwa kumaliza ila mimi naona ni vizuri ungesema yeye anafanya kozi gani na anataka kufanya masters ya kozi gani pia nchi anazopenda kufanya hiyo masters nadhani ingerahisisha washiriki wengine kutoa msaada kulingana na yeye mlengwa anavohitaji.

form1
 
Nimepewa taarifa kama kuna mwalimu wa lugha ya kingereza anataka kujiendeleza kuna program mpya hapo school of education udsm. Ni full funded for short listed ila wanataka sana wadada nimesikia mnaweza apply ingia ktk website yao.
 
Back
Top Bottom