Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Anza na hii hapa. Mlango wa application kwa mwaka huu umefunguliwa tarehe 1 August na utafungwa tarehe 31 August. See the link below:


HAMISI Nuru
Hii scholarship nzuri sana ni vile wenye lower second GPA hatutakiwi.
 
Wakuu habari ya muda,

Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania.

Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya Tanzania, tupeane maelekezo na hatimaye wengi wetu tutoke na kwenda kujifunza dunia inaendaje upande mwingine wa Dunia.

Nitakuwa mstari wa mbele kutoa updates na maelekezo kadiri nitakavyoweza.

Karibuni sana!
Wakuu kwa anaefahamu partial sponsorship za SUA zinapatikana vipi iwe kutoka serikalini au mashirika binafsi, nataka nikapige masters hapo... mfukoni nina hela ya kutosha ada tu kwa miaka yote miwili. Hivyo naomba tujuzane wakuu ili nipate hata pesa za meals, accomodation, books na stationery tu.
 
Wakuu kwa anaefahamu partial sponsorship za SUA zinapatikana vipi iwe kutoka serikalini au mashirika binafsi, nataka nikapige masters hapo... mfukoni nina hela ya kutosha ada tu kwa miaka yote miwili. Hivyo naomba tujuzane wakuu ili nipate hata pesa za meals, accomodation, books na stationery tu.
kwa kozi za kada Gani kama uchumi,utalii au mazingira n.k
 
Back
Top Bottom