Mkuu Sembo , mimi sina tawi nifanyeje make nlishawahi hata kumuuliza Meneja Ngaga alipokuwa na Timu Mwanza. nsaidie npate hiyo kadi. Nko Mwanza wilaya Misungwi
mkuu bba gharama ya kulipia uanachama ni tsh. 12.000/= kwa mwaka, pia unalipia gharama ya kadi pamoja na usafiri ni tsh. 18.000/=, ambapo kadi inakuafuata ulipo, na hayo malipo unaweza fanya kwa tigo pesa, m pesa, airtel money au nmb.. Kuna fomu nimeiweka hapo juu, utapata maelezo yote. Kama huioni pitia hapa Simba Sports Club | Simba Sports Club alafu nenda category ya membership utapata maelezo yote.
utamjua tu Siku simba vs yangaa alaaaafuweeeeenareeeeeeHuyu ni nani Mkuu? Mbona yupo kama ni mvuvi flani?
Lushoto tulikwenda kwa ajili ya kufanya mazoezi ya utimilifu ya mwili ( kujenga physique ).. Sasa hivi tupo Unguja tukiimalizia kujifunza mbinu za uwanjani I mean soka la pasi fupi fupi za kasi, huku tukishambulia kama nyuki.. Kipindi hicho tunajenga Great Wall of China katika defence.
na kama ulivyosema umesamehewa mtumishi sikuingine wasikulishe kasa gomaHahaha.. Mkuu Mimi ni kama mtume Paulo kwa watu wake.. Hivyo usinihukumu.
wagaraaaanyoooooooona kama ulivyosema umesamehewa mtumishi sikuingine wasikulishe kasa goma
Ule uwanja wa ahsante rage kule mbweni umeishia wapi??KUNA TAARIFA MMEAANZA KUUZA VIPANDE VIPANDE.MSAADA PLS NAMI NAITAJI KIWANJA NAAMINI MTANIPA BEI YA MTANI SIKINIKOMOA..Wakandalasi watakaoujenga ni wale waliojenga uwanja wa taifa au wengine