holy spirit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2020
- 856
- 1,376
PhD yenyewe ndugu inaleta hela, ndio zinaweza zisiwe nyingi za kusimamisha magorofa ila tusidanganye kwamba PhD holder anaepeleka take home hata ya 3M Kwa mwezi ana maisha ya chini. PhD Ina benefits sana especially kama umesoma mapema ukichelewa labda kwenye 35 hivi uwe nayo. Japo sio lazima kwa kila mtu.u love to stress yourself.
PhD ya nini sasa mkuu?
Au unataka excuse ya kutokuwa na hela?
Kwamba uwaambie watu bado unasoma ndio maana hauna hela?
Waliochelewa watapata tu stress hahaha, PHD ni kichomi jamanPhD yenyewe ndugu inaleta hela, ndio zinaweza zisiwe nyingi za kusimamisha magorofa ila tusidanganye kwamba PhD holder anaepeleka take home hata ya 3M Kwa mwezi ana maisha ya chini. PhD Ina benefits sana especially kama umesoma mapema ukichelewa labda kwenye 35 hivi uwe nayo. Japo sio lazima kwa kila mtu.
Yani wanataka umalize kazi yako on time uwajulishe ila wao kufanya responsibility zao wanataka wafanye Kwa mda wao wasiwe pressured. Hawa watu wamepewa power mnoKwa hiyo wanapenda watu wavivu? Jaman mimi sio mvivu kwenye kusoma yaani sijui kupeleka kazi niko sharp kiasi kwamba hata kama unanisimamia lazima nikusumbue
Kila mtu na starehe yake hahahππππ Ila we jamaa sasa starehe za watu zina uhusiano gani na elimu?
Everyone has his/her own idea of pleasure. Mwingine ni mwanaume lakini raha yake ni kukandwa yeye kukanda haenjoy π ...acha wasomi waliwe bwana
Ndio wale wale, mambo sio mepesi kabisa.Kumbe na kwenyewe mziki ule ule mungu atusaidie sisi watu wa lower middle class tunaotegemea elimu kubwa itutoe kimaisha
Ndio hawataki kusumbuliwa, Wanataka ukishamtumiaYani wanataka umalize kazi yako on time uwajulishe ila wao kufanya responsibility zao wanataka wafanye Kwa mda wao wasiwe pressured. Hawa watu wamepewa power mno
Asome nje ama South Africa. Ila Kenya pia hawana uswahili kama Bongo.kama unataka kusoma PhD bora usome nje ya nchi kwa afya ya akili
ila kama unataka shida soma afrika
Jaribu kuulizia experience ya MzumbeHata kama unasomeshwa ukimaliza muda fund inakoma, kama hujamaliza unajilipia mwenyewe hizo gharama, maana maofisini kuna kujaza mikataba ya kusomesha
Yeah Wana PhD programs piaMzumbe moro?
Shida ipo kulilia kubusubusu na kuomba apigwe pumbu huko PM. Bora ule pesa ya yatima kuliko kutifuliwa mtaro huku umesoma. Au nawe ndio wale wale, unapigwa pipe?πππππElimu inaondoa ujinga ingawa hauishi wote na sio tabia ya mtu wala starehe ya mtu, watu wanaelimu lakini akilewa lazima ajisaidie huko aliko, watu wanaelimu lakini wanadhulumu haki za wajane na yatima kupitia elimu zao, watu wanaelimu na nyazifa kubwa lakini wanakula hela za misaada za wahitaji hawapati kile wanachostahili watu wanakufa masikini wengine wanalala na njaaa sababu ya hao wasomi. Mimi simbugudhi mtu so shida iko wapi rafiki