Dondoo za masomo ya PhD UDSM

Dondoo za masomo ya PhD UDSM

Mkuu uko km Mimi, mm ni mvivu sana kusoma yaani hata degree sijui niliipateje.... Mtu akitaka nisome labda awe ananilipa mshahara kila siku, nikitoka lecture ni mbususu tu na pombe nijipooze machungu baada ya kufanya jambo nisilolipenda...

Bora Yako wewe una degree, mie nasikia tu Kwa watu.

Ila napenda kujisomea mwenyewe, sipendi ule mfumo wa kufundishwa.
 
Mkeka wa graduates wa mwaka huu huo wa SUA soma registration number uone walikuwa registered mwaka gani. Watu wamesoma masters 3 to 4 years, kuna PhD graduates wawili apo walikuwa registered 2017 wamesoma 7 years. Japo elimu ya PhD hata masters pia ni kipimo cha resilience usiogope kwenda SUA.

View attachment 3113998
Hii ni adhabu sasa sio elimu
 
Mkeka wa graduates wa mwaka huu huo wa SUA soma registration number uone walikuwa registered mwaka gani. Watu wamesoma masters 3 to 4 years, kuna PhD graduates wawili apo walikuwa registered 2017 wamesoma 7 years. Japo elimu ya PhD hata masters pia ni kipimo cha resilience usiogope kwenda SUA.

View attachment 3113998
Hata SUA ni baadhi ya Supervisor ndio wasumbufu hapo. Kwenye huo mkeka hao PhD wote wa 2017 nawafahamu. Mmoja hapo aliishaamua kuacha licha ya kumshauri sana. Huyo supervisor wake ni kirusi hatari sana hapo college ya Veterinary. Jamaa alikuwa anapeleka kazi inakaa mwaka mzima, akaamua kurudi kibaruani tu na chuo akazira. Hapo kamaliza kazi yake kuandika thesis 2022 kaja kugraduate 2024.
Ila SUA kuna supervisors wengi tu hawana shida, watu PhD wanamaliza miaka 3 hadi 4 bila shida kabisa
 
Hata SUA ni baadhi ya Supervisor ndio wasumbufu hapo. Kwenye huo mkeka hao PhD wote wa 2017 nawafahamu. Mmoja hapo aliishaamua kuacha licha ya kumshauri sana. Huyo supervisor wake ni kirusi hatari sana hapo college ya Veterinary. Jamaa alikuwa anapeleka kazi inakaa mwaka mzima, akaamua kurudi kibaruani tu na chuo akazira. Hapo kamaliza kazi yake kuandika thesis 2022 kaja kugraduate 2024.
Ila SUA kuna supervisors wengi tu hawana shida, watu PhD wanamaliza miaka 3 hadi 4 bila shida kabisa
Ma supervisor tatizo sana
 
Hata SUA ni baadhi ya Supervisor ndio wasumbufu hapo. Kwenye huo mkeka hao PhD wote wa 2017 nawafahamu. Mmoja hapo aliishaamua kuacha licha ya kumshauri sana. Huyo supervisor wake ni kirusi hatari sana hapo college ya Veterinary. Jamaa alikuwa anapeleka kazi inakaa mwaka mzima, akaamua kurudi kibaruani tu na chuo akazira. Hapo kamaliza kazi yake kuandika thesis 2022 kaja kugraduate 2024.
Ila SUA kuna supervisors wengi tu hawana shida, watu PhD wanamaliza miaka 3 hadi 4 bila shida kabisa
Wakati mwingine Hawa lecturer maslahi madogo
 
UDSM ukiwa mwanaMama unapiga PhD yako freshhhh kwa ulaini kabisa...Kazi kwetu wenye Mapum.bu akina Prof.Mbaba wanabana sana.
 
Wanalipwa vizuri shida kubwa ni kupewa uhuru mwingi wanahitaji kukabwa kidogo
Nina jamaa zangu wako huko, wanadai hawana House allowance Wala transport allowance hadi ufikie level ya Senior lecturer. Uwe na PH D na uzoefu wa kutosha.
Sasa hizo allowance kwenye baadhi ya taasisi watu wanaanza nazo ajira mpya tu.
Hata ukiangalia mishahara Tutorial Assistant anaanza na 1.6M
Hiyo huwezi kuita malipo mazuri ukilinganisha na CMSA, TCRA, eGA, PSSF, PURA, TRA na wengineo
 
Nina jamaa zangu wako huko, wanadai hawana House allowance Wala transport allowance hadi ufikie level ya Senior lecturer. Uwe na PH D na uzoefu wa kutosha.
Sasa hizo allowance kwenye baadhi ya taasisi watu wanaanza nazo ajira mpya tu.
Hata ukiangalia mishahara Tutorial Assistant anaanza na 1.6M
Hiyo huwezi kuita malipo mazuri ukilinganisha na CMSA, TCRA, eGA, PSSF, PURA, TRA na wengineo
Tutorial 1.6 akikatwa roughly anachukua 1.3 bila loan board au 1.2 kama ana loan

Assistant Lecturer 2.5 akikatwa roughly 1.8 bila loan 1.6 akiwa na loan

Lecturer 3.8 akikatwa roughly 2.7 au 2.8

Hizi ni ranks unazopata Kwa kwa kuwa na degree fulani Bachelor, Masters, PhD si ndio achana na senior lecturers, associate professors na professors. Kama unaona haya ni malipo madogo basi ila mi naona kama ni hela nzuri tu
 
Tutorial 1.6 akikatwa roughly anachukua 1.3 bila loan board au 1.2 kama ana loan

Assistant Lecturer 2.5 akikatwa roughly 1.8 bila loan 1.6 akiwa na loan

Lecturer 3.8 akikatwa roughly 2.7 au 2.8

Hizi ni ranks unazopata Kwa kwa kuwa na degree fulani Bachelor, Masters, PhD si ndio achana na senior lecturers, associate professors na professors. Kama unaona haya ni malipo madogo basi ila mi naona kama ni hela nzuri tu
Huyo Tutorial Assistant akikatwa HESLB anabakiwa na laki 8-9. Hapo Hana Allowance yeyote nyingine.
Ingiza laki 9 kwenye maisha ya mjini
atabadilisha mboga tu ila hawezi kuwa comfortable sana.
 
Lakini pia Hawa watu ili mshahara upande lazima usome. Na elimu ni hela usipopata ufadhili. Kwahiyo wengi wanajikuta na madeni
 
Huyo Tutorial Assistant akikatwa HESLB anabakiwa na laki 8-9. Hapo Hana Allowance yeyote nyingine.
Ingiza laki 9 kwenye maisha ya mjini
atabadilisha mboga tu ila hawezi kuwa comfortable sana.
Tutorial Assistant kwanza huwa ni cheo cha muda mfupi laki 8 maybe kama ana mikopo mingine ila hata loan board ikitolewa 1.1 M or 1M Kwa tutorial mwenye loan uhakika
 
Lakini pia Hawa watu ili mshahara upande lazima usome. Na elimu ni hela usipopata ufadhili. Kwahiyo wengi wanajikuta na madeni
Kupata scholarships za PhD sio ngumu sana wengi wanapata vyuo vizuri tu Europe na Asia. Masters wengi wanasoma kwenye vyuo walivyoajiriwa kama tutorials na hawalipi ada in full kuna punguzo na hela ya research ya Masters vyuo vinatoa. PhD ndio expensive sana, Masters sio expensive kivile
 
Back
Top Bottom