Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaliza kumchinja unakuta tangazo linasema ukimpeleka unapewa Mil 1.Huyo tayari kashawekwa kwenye vimishkaki vya jioni vile vya mia tano miatano😔
Mmeshaonywa ya kwamba msifuge hawa Mbwa kama uwezo wako ni robo kilo ya nyama kwa siku...
😂😂😂kipaka kigongwa jioni usiku hukioni kumbe kimewekwa kwa mishkaki🙌 pesa imeondoa utu aiseeUnamaliza kumchinja unakuta tangazo linasema ukimpeleka unapewa Mil 1.
Hafu we umetupa kichwa, Miguu, utumbo, ngozi imebaki kilo 5 ambayo ukiuza mishkaki haizidi ata elfu 60.
😂😂😂😉WE tafuta mbwa kama unaweza mengine waachie wafugaji
Ukimpata nitafute nikupatie TZS 1milWE tafuta mbwa kama unaweza mengine waachie wafugaji
Nawapa angalizo!
😂😂tumeingiza na mishkaki...tangazo limekuwa tangazo😂😎EEh maana mambo yanataka kuwa mengi tena 😅😅😄