To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Nasikia broIvyo vimshikaki vikiwaga vitamu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia broIvyo vimshikaki vikiwaga vitamu sana.
Si tukijua tu kuwa uyo ni Mbwa inatosha.wengi hawamjui ni aina gani ya mbwa mm niwasaidie uyo hujulikana kama
GREAT DANE ni mbwa ambao hua na miili mikubwa usawa wa Ndama kabisaaaa
[emoji23][emoji23][emoji1787]Huyo tayari kashawekwa kwenye vimishkaki vya jioni vile vya mia tano miatano[emoji17]
hatimae amepatikanaInamaana tumeshindwa mpata mbwa kweli?
Leta maiti yake ikazikwe basihatimae amepatikanaView attachment 2603611
Bado tunatafuta ila tumeona ngozi hapa jalalani hatujuwi kama ni mbwa au mbuzi😣😣😣 Fanya hivyo mkuu milion 1 yaweza kuja kwako
Nawapa angalizo!
Usijiroge kumkamata huyo MBWA!ni hybrid hatari sana!!
Ni mkali sana mwenye nguvu pia!labda kama mmezoeana!
MBWA aina hii ameripotiwa kusababisha mauaji duniani yaani hatabiriki ni hybrid ambayo inaanza kupigwa marufuku kuzalishwa!!