Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kula kwa tani yako hivyo vimishikaki.Hivi ni kweli watu wanauza nyama ya mbwa?
Wanadamu ukiwasikiliza sana utajikuta unajikosesha mazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula kwa tani yako hivyo vimishikaki.Hivi ni kweli watu wanauza nyama ya mbwa?
😅😅😄we waache badala waingie kazini kutafuta mbwa
Nazionea huruma mbwa koko zilizofanana na mbwa hiyo...zitafika zinachechemea miguu imevunjwa...wabongo wakichoka kufukuzia sikuzote hutumia mawe😅😅😄we waache badala waingie kazini kutafuta mbwa
Nilidhani ni Manunu
Ni ngumu kutoa jibu la moja kwa moja.Hivi ni kweli watu wanauza nyama ya mbwa?
Hivi ni kweli watu wanauza nyama ya mbwa?
😂😂😂😂mbavu zanguuakija na kilema sasa milioni itakatwa 😅😅😄
Dah! Ikitokea hivyo, lazima ujione tu huna bahati.Unamaliza kumchinja unakuta tangazo linasema ukimpeleka unapewa Mil 1.
Hafu we umetupa kichwa, Miguu, utumbo, ngozi imebaki kilo 5 ambayo ukiuza mishkaki haizidi ata elfu 60.
Ni bei chee, we kibongo bongo mshkaki wa 200 uliojaa na wa 500 legelege utachagua upi mkuu.Sanaaa 😅😅😄 ila watu wanavipendaa
Kua serious 😁😁 yaani unashangaa mbwa badala ya kushangaa paka?Hivi ni kweli watu wanauza nyama ya mbwa?
HAHAHAHAHAHAUnamaliza kumchinja unakuta tangazo linasema ukimpeleka unapewa Mil 1.
Hafu we umetupa kichwa, Miguu, utumbo, ngozi imebaki kilo 5 ambayo ukiuza mishkaki haizidi ata elfu 60.