makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,620
- 5,260
Uhivi unajua kuwa huyo kwenye avatar yako ni shoga?Wangekuwa wanaanzisha vita wasiyoshindwa mbona kwenye views povu lilitoka balaaa macho kodooo kwa mic hhahaahahha. Wazee wa views
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhivi unajua kuwa huyo kwenye avatar yako ni shoga?Wangekuwa wanaanzisha vita wasiyoshindwa mbona kwenye views povu lilitoka balaaa macho kodooo kwa mic hhahaahahha. Wazee wa views
Wakuu, hata mimi uhater najua sana sema basi tu sitaki..
Hebu tufanye hivi, nenda kasikilize huu wimbo nimeweka link hapa chini..
Sikiliza beat, sikiliza melody na angalia "plot" ya nyimbo alafu uje hapa unibishie Darasa hajacopy..
Song: Sanko
Artist: Timaya
Producer: Orbeat
Wakuu, hata mimi uhater najua sana sema basi tu sitaki..
Hebu tufanye hivi, nenda kasikilize huu wimbo nimeweka link hapa chini..
Sikiliza beat, sikiliza melody na angalia "plot" ya nyimbo alafu uje hapa unibishie Darasa hajacopy..
Song: Sanko
Artist: Timaya
Producer: Orbeat
Ukweli hazifanani kabisabeat hajakopi popote isipokuwa ilitakakuelekeana na karata dume ya afande sele
Truuuuubeat hajakopi popote isipokuwa ilitakakuelekeana na karata dume ya afande sele
Wakuu, hata mimi uhater najua sana sema basi tu sitaki..
Hebu tufanye hivi, nenda kasikilize huu wimbo nimeweka link hapa chini..
Sikiliza beat, sikiliza melody na angalia "plot" ya nyimbo alafu uje hapa unibishie Darasa hajacopy..
Song: Sanko
Artist: Timaya
Producer: Orbeat
they are totally different, sio kwa flow, melody wala plot ya video. Kwenye beat ndo kuna uelekeano kidogo sana.
Nashukuru mkuu, wengine hatuna timu watuache tucheze [HASHTAG]#Muziki[/HASHTAG][emoji441] [emoji445] na [HASHTAG]#Darasa[/HASHTAG] maana mwaka huu ametukoshaaaaaUliza vizuri ila umeharibu kufananisha hizi nyimbo mbili, they are totally different, sio kwa flow, melody wala plot ya video. Kwenye beat ndo kuna uelekeano kidogo sana.
Rai yangu: upinzani wa diamond na kiba, usififishe akili zenu na kufanya mumchukie kila msanii. This year darassa amefanya kazi nzuri na anahitaji pongezi.
Naomba nikuulize una maanisha nini "plot ya nyimbo"? Plot ya nyimbo ni sawa na theme ya nyimbo? Naomba unijuze mkuuHakuna mahali nilikoongelea plot ya video!
Labda hujaelewa, nimeandika "plot ya nyimbo"..
Nina masikio Mkuu sihitaji unisimulie, hizo nyimbo mbili zinafanana beat, melody na "plot ya nyimbo"
Ayo ndo maneno sasa...sio mtu anatoa critism za kiwack zisizo na mashikoNashukuru mkuu, wengine hatuna timu watuacha tucheze [HASHTAG]#Muziki[/HASHTAG][emoji441] [emoji445] na [HASHTAG]#Darasa[/HASHTAG] maana mwaka huu ametukoshaaaaa
Naomba nikuulize una maanisha nini "plot ya nyimbo"? Plot ya nyimbo ni sawa na theme ya nyimbo? Naomba unijuze mkuu
Jifunze kuwa mvumilivu mtu anapotofautiana mtazamo na wewe!Ayo ndo maneno sasa...sio mtu anatoa critism za kiwack zisizo na mashiko
Ha ha ha..kiongozi hakuna hoja yoyote ya ulichokiandika hapo awali zaidi ya kutumia hisia zako kujumuisha fikra za jamii nzima.Jifunze kuwa mvumilivu mtu anapotofautiana mtazamo na wewe!
Huwa naandikaga sana kuwa moja ya dalili ya kupevuka na kukomaa kiakili ni ustaaratabu.. Hakuna haja ya kuandika lugha za kuudhi kisa mtu ametofautiana kifikra na wewe..
Mtu akitoa hoja ukiona hoja yake haiko sawa unaweza kumpotezea au ukamjibu kwa hoja pasipo lugha za kiudhi..
Kuhusu swali lako kwamba nifafanue nina maana gani kusema "plot ya nyimbo" niseme tu kwa hii haiba yako unayoionyesha haitakuwa sahihi kwangu kubishana au kujadili na wewe.. So am not going to dignify your comment with an aswer..
Good luck!
Umeonaeeeee.....una akili sana we jamaaaDarasa Nae kaingia kwenye mzik wamasimango.
Nayeye anaanza kuamini bila kuwadisi wasafi haupati kiki.