Exactly.Wenye nyimbo mpya zote nadhani zimewekwa kapuni kupisha Darasa
katupa sana yani hii ni diss trackNgoma kali sana, sema kuna baadhi ya mistari mimi mwenyewe naitilia shaka inawezekana katupa jiwe gizani
katupa sana yani hii ni diss track
inayowalenga wasanii wote wenye mabeef!!!
sijui bla bla sitaki kusikia
sio simba, sio chui sio mamba!!
yeye darassa ngozi yake inatosha kujigamba!
wanaoota mapembe waongeze mkia!
acha maneno weka mziki!
ni madongo yako wazi kabisa!
Jaman, inamaana kisa wimbo uliimbwa na diamond ndo umependwa kias hicho? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni jamani.
Huyu kijana anajituma tangu mwanzo, sio kwa sababu kuna copy ya kitu fulani cha mond. Nyimbo zake zote sijaona mbaya japo mi c mpz sana wa muziki ila napenda sana flow yake.