Dongo lililojificha kwenda kwa wanaojiita Simba

Dongo lililojificha kwenda kwa wanaojiita Simba

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
Sio Simba sio chui sio mamba,ngozi yangu inatosha kujigamba na sina maneno ya kwenye kanga yani kazi juu ya kazi yani bamba to Bamba!!!!!!!!

Hili litakuwa Dongo kwa team Fulani ila sisi ambao hatuna team huwa tunapenda miziki mizuri kama hii.
15283988_549799085205498_3806301666574214812_n.jpg


 
hiyo sehemu hata mimi ilinipa utata
anyway labda hakua na nia ya kudis
 
Back
Top Bottom