Dongo lililojificha kwenda kwa wanaojiita Simba

Dongo lililojificha kwenda kwa wanaojiita Simba

Darassa Nae Kaanza Muziki Wa Majungu Beat Yenyewe Kakopi Vionjo Wa Salome Pamoja Na Baadhi Ya Mashairi. Mimi Nimshauri Afikiri Tu Kiki Za Kudiss Ni Ujinga, Atatumiwa Sana Kina Mchomvu Ili Awatengezee Pesa Kwenye Vitamasha Uchwara Vya Vya Afro Skuli Bash.
Povu la madale hili
 
Dongo kwa simba huku kasample beat ya chambua kama karanga ambayo imerudishwa kwenye chart na Simba

Darasa ni msanii mkali naona kama yupo underrated kiasi fulani.
 
Dongo kwa simba huku kasample beat ya chambua kama karanga ambayo imerudishwa kwenye chart na Simba

Darasa ni msanii mkali naona kama yupo underrated kiasi fulani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona sijasikia hiyo beat au ndiyo kibwetere kaguswa?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona sijasikia hiyo beat au ndiyo kibwetere kaguswa?

Sikiliza vizuri au muulize darasa mwenyewe au Mr T touch producer wa ngoma atakwambia usipende kubishia mambo ya wazi unaonekana mtoto na inaonyesha hujui chochote kuhusu music. FYI sampling kwenye music inaruhusiwa. Sikiliza vizuri huu wimbo hata mwanzoni kabisa na sikiliza Salome halafu niambie tofauti yake nini. Mimi ni shabiki wa Darasa na huu wimbo kasample salome hakuna tatizo katika hilo, kazi nzuri
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona sijasikia hiyo beat au ndiyo kibwetere kaguswa?

Na ubishi wako ona sasa unahaibika. Muziki hujui hata kusikiliza unashindwa, hizi team zimewaharibu akili, ni kiziwi tu hawezi kusikia kionjo cha chambua kama karanga kwenye huu wimbo mpya wa Darasa- muziki. Again, chambua kama karanga imerudishwa kwenye charts na Dayamondi na ndiyo sababu wimbo wa Darasa imependwa haraka.

Som hii link: Muziki ya Darassa ilivyogeuka wimbo wa taifa ndani ya wiki moja | Bongo5.com

Inasema "Muziki, wimbo ambao amemshirikisha Ben Pol huku kwa mbali ukikopa kionjo cha wimbo wa Saida Karoli, Chambua Kama Karanga na kupewa midundo inayokaribiana na dancehall, umegeuka kuwa wimbo wa taifa ndani ya muda mfupi. Wimbo huu umeyagusa masikio ya watu wa kila rika na wote wanaongea ujumbe mmoja – Darassa ametisha".
 
Na ubishi wako ona sasa unahaibika. Muziki hujui hata kusikiliza unashindwa, hizi team zimewaharibu akili, ni kiziwi tu hawezi kusikia kionjo cha chambua kama karanga kwenye huu wimbo mpya wa Darasa- muziki. Again, chambua kama karanga imerudishwa kwenye charts na Dayamondi na ndiyo sababu wimbo wa Darasa imependwa haraka.

Som hii link: Muziki ya Darassa ilivyogeuka wimbo wa taifa ndani ya wiki moja | Bongo5.com

Inasema "Muziki, wimbo ambao amemshirikisha Ben Pol huku kwa mbali ukikopa kionjo cha wimbo wa Saida Karoli, Chambua Kama Karanga na kupewa midundo inayokaribiana na dancehall, umegeuka kuwa wimbo wa taifa ndani ya muda mfupi. Wimbo huu umeyagusa masikio ya watu wa kila rika na wote wanaongea ujumbe mmoja – Darassa ametisha".

Yani nyie tofauti na Diamond hamtaki msanii mwingine yoyote afanikiwe.
 
>>>JAMAA ni zaidi ya NYOKO !!Kauwa nyoka,Simba,Chui,Tembo woote chalii >>
 
Wimbo m'baya,akajipange upya.

Jamaa una roho mbaya sana, huu ushabiki wa kitimu umeingia hadi kwa wanaume. Badala tuwasapoti wasanii wetu wafike mbali tunaanza kuleta ubaguzi wa kijinga. Kwa taarifa yako diamond anafanya vzr kwasababu ya ushindani ,ushindani ukitoweka naye anakufa.
 
Jamaa una roho mbaya sana, huu ushabiki wa kitimu umeingia hadi kwa wanaume. Badala tuwasapoti wasanii wetu wafike mbali tunaanza kuleta ubaguzi wa kijinga. Kwa taarifa yako diamond anafanya vzr kwasababu ya ushindani ,ushindani ukitoweka naye anakufa.
Hapo MOND anaingiaje ........Mimi nimeuona m'baya na wewe toa maoni yako,unauonaje ......??
 
Hapo MOND anaingiaje ........Mimi nimeuona m'baya na wewe toa maoni yako,unauonaje ......??

Hebu jaribu kutunga wakwako mzuri, kama watu 10 wanasema wimbo ni mkali halafu wewe mtu moja unasema ni mbaya basi ngoja tukuache na uchawi wako maana mkataa cha wengi mchawi
 
Darassa Nae Kaanza Muziki Wa Majungu Beat Yenyewe Kakopi Vionjo Wa Salome Pamoja Na Baadhi Ya Mashairi. Mimi Nimshauri Afikiri Tu Kiki Za Kudiss Ni Ujinga, Atatumiwa Sana Kina Mchomvu Ili Awatengezee Pesa Kwenye Vitamasha Uchwara Vya Vya Afro Skuli Bash.
We naye eti Afro school bash [emoji13] [emoji13] [emoji13] km hujui mute baba
 
Wanamuziki wetu wengi wana Talanta, lakini wanakosa kitu muhimu sana kinaitwa strategies.. Kwasasa industry nzima imekariri kuwa ukitaka kiki basi uwadiss WCB.. Ni kweli utaongelewa ila ni poor strategy

First time nimesikia huu wimbo nilisikia huo mstari na nikajua tu nini kinatafutwa na nikasikitishwa sana na darasa..

Nitoe mfano; hakuna shabiki ambaye anashabikia msanii mmoja pekee.. Kwa mfano mimi shabiki mkubwa wa muziki wa WCB lakini pia ni shabiki wa Darasa toka enzi zile..

Sasa; muziki ni hisia na huwezi kupenda mziki wa mtu ambaye roho yako haina amani naye! Sasa inapotokea msanii akafanya upuuzi wa kuanzisha chokochoko na msanii mwingine unayemshabikia lazima hisia zako kama mshabiki zitachagua side.. Ndio kusema kwa mfano kwa ishu hii shabiki The Bold lazima ushabiki wake kwa darasa utapungua na kubakia kuwa shabiki wa WCB! Sasa darasa ajiulize anapoteza mashabiki wangapi kwa mtindo huu..

Nitoe mfano mwingine; juzi kati fiesta ilivyokuja Moro nikapata 'shavu' fulani hivi katika maandalizi yake and kwa wiki nzima ile nikajikuta nasikiliza sana clouds fm tofauti na kawaida yangu.. Nakumbuka kuna siku Darasa alikuwa anahojiwa na Diva, akaulizwa unazungumziaje mziki wa singeli na man fongo? Akajibu simjui man fongo... Diva na mbwembwe zake zile akahamaki "ooooohh my gooorsh kwahiyo hujawahi kusikia Hainaga ushemeji?? Unasikikizaga nini sasa kwenye redio??" Akajibu sisikilizi mziki wowote zaidi ya mziki wangu..!!!!

Doooohh nikasema ndugu yetu sifa zishamzidi, nayeye anajiona 'tembo' sasa..
Ila nikapotezea mpaka sasa ndio nakumbuka yale majibu yake yanareflect vipi personality yake ya sasa..

Ninachojaribu kusema ni nini??
Kuna kitabu mashuhuri sana cha Jemedari wa kivita Bwana Sun Tzu (ART OF WAR) na kuna kanuni moja anazungumzia kuwa "dont fight unnecessary wars".. Vita yoyote ina gharama! Kwahiyo kabla ujaanzisha/ujaingia kwenye vita yoyote kwanza fanya tathimini faida na hasara ya vita hiyo.. Je gharama utakayoitumia kupigana vita hiyo inaendana na manufaa utakayoyapata???

Sasa wabongofleva wao wanajua kuanzisha vita tu bila kutathimini gharama za vita hizo na faida gani watapata! Wao wamekariri tu "nitapata kiki"

Hiki ndicho kimemgharimu Dimpoz.. Alianzisha vita bila kufanya tathimini,
Yeye alipagawishwa tu "nitapata kiki" bila kujua gharama ya vita anayoianzisha..
Hakujua mashabiki wake wengi ndio hao hao mashabiki wa WCB na ulipofika muda wa kuchagua kuwekeza hisia zao za muziki kati ya dimpoz na WCB asilimia kubwa wakachagua kuwekeza hisia WCB.!!

Hapa ndipo ninaposema wasanii wetu wengi wana talanta lakini hawana Strategies.. Hata wakiweka strategies wanaweka poor strategies.. Ndio maana sijawahi kujutia kuwaunga mkono WCB, wana mikakati mwanana, muziki mwanana, washauri vichwa na hata wakiamua kuanzisha vita, wanaanzisha vita ambayo wana uhakika hawawezi kushindwa..

The Bold.
Ktk post pumba hii namba moja,ommy wng wamemuelewa kuliko hao wenzio,kutomjua cyo dhambi na kwa sasa darasa yupo juu kuliko hata babu tale na crew yenu labda aje ashuke ila kwa sasa ss watz tusio na chuki tunamweka namba moja na kaja kufunika ujinga woote,nani asikie kokoro ss hv
 
Hebu tuangalie tofauti ya wanaonunua views na wale wasio nunua;

a) wasio nunua views

- mwengine mpaka sasa anakaa kwa mama (he is on his 30's)
- yuko kwenye mziki zaidi ya miaka 10 na bado analalamika kufanyiwa figisu kama underground
- mwingine mziki umemtupa mpaka imebidi ajenge urafiki na waarabu unaotiliwa mashaka ili tu aweze kumudu maisha ya kistaa mjini.
- wote wanashikiwa akili na wadada wa mjini (mwegelo, sepetu & co)
- wana kila dalili ya msongo wa mawazo




b) wanaonunua views

- wanajitegemea kimaisha kwa maana ya makazi.! Kuanzia ndani na nje ya nchi
- ni 'trend setters'! Wanafanya kitu baadae kila msanii anaiga.
- wana kampuni/lebo yenye valuation ya billions of shillings.
- wanaheshimiwa kila kona ya bara la africa kimuziki.
- kila wanachogusa turns into gold.



Sasa; kuna filamu inaitwa 'wolf of wall street', kuna kipande leonardo de caprio anatoa speech kwa wenzake anawaambia "..there is no nobility into being poor! i have been a poor man and i have been a rich man, and I choose rich every f*cking time.."

Na mimi niseme kwamba, ukinambia nichague kuwa niwe nanunua views au niwe sinunui views, jibu langu "..I choose kununua views every f*cking time.."

The Bold.
Hata hueleweki kwan na ww ni msanii?
 
Sikiliza vizuri au muulize darasa mwenyewe au Mr T touch producer wa ngoma atakwambia usipende kubishia mambo ya wazi unaonekana mtoto na inaonyesha hujui chochote kuhusu music. FYI sampling kwenye music inaruhusiwa. Sikiliza vizuri huu wimbo hata mwanzoni kabisa na sikiliza Salome halafu niambie tofauti yake nini. Mimi ni shabiki wa Darasa na huu wimbo kasample salome hakuna tatizo katika hilo, kazi nzuri
Km ni coppy ya salome poa tutafanya mpango tutamlipa Saida karoli ama mlitakaje akina domo[emoji13]
 
Hivi kanuni za hiphop zinakataza kuwa na skendo za wanawake uchwara?
 
Na ubishi wako ona sasa unahaibika. Muziki hujui hata kusikiliza unashindwa, hizi team zimewaharibu akili, ni kiziwi tu hawezi kusikia kionjo cha chambua kama karanga kwenye huu wimbo mpya wa Darasa- muziki. Again, chambua kama karanga imerudishwa kwenye charts na Dayamondi na ndiyo sababu wimbo wa Darasa imependwa haraka.

Som hii link: Muziki ya Darassa ilivyogeuka wimbo wa taifa ndani ya wiki moja | Bongo5.com

Inasema "Muziki, wimbo ambao amemshirikisha Ben Pol huku kwa mbali ukikopa kionjo cha wimbo wa Saida Karoli, Chambua Kama Karanga na kupewa midundo inayokaribiana na dancehall, umegeuka kuwa wimbo wa taifa ndani ya muda mfupi. Wimbo huu umeyagusa masikio ya watu wa kila rika na wote wanaongea ujumbe mmoja – Darassa ametisha".
Jaman, inamaana kisa wimbo uliimbwa na diamond ndo umependwa kias hicho? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni jamani.
Huyu kijana anajituma tangu mwanzo, sio kwa sababu kuna copy ya kitu fulani cha mond. Nyimbo zake zote sijaona mbaya japo mi c mpz sana wa muziki ila napenda sana flow yake.
 
Back
Top Bottom