Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh 😂😂😂... kweli kabisaHata Le Mutuz azeeki
Sidhani. Jack ndio kaaza kutoboa kimataifa kabla ya Donnie, muvi yake hasa ya Rush hour ya 1999 ndio ilimpeleka Hollywood. Lakini Donnie Yen amekuja kuingia Hollywood hasa kwenye muvi ya Star Wars: Rogue One baadae pia akacheza kwenye XxX Return of xender Cage 2017.Nafkiri na muda wa kutoboa ki movie unachangia.
Nahisi Chan amechelewa kutoboa, yaani alitumia muda mwingi mpaka kujulikana sana na maagent. Lakini Yen hakutumia muda mwingi kupata ma agent wa holiwood. So ikamfanya kupata pesa mingi mapema na kurekebisha maisha mapema. Nahisi Chen kapigwa sana na mawakala kama Rose Mhando.
Beyonce ndiye anafanya plastic Surgery.Nashangaa sana au wanafanya surgery?
Sammo ni mkubwa sana ana miaka almost 80Daah hata mi nilikuwa najiuliza huyu jamaa hazeeki ukilinganisha na wenzake akina Yuen Biao , Jackie Chan , Samo hung, hata Jetli anaonekana age imeenda ila mwamba still yupo imara sana , spendi movie zake za mapanga , visu na mafarasi napenda zile za town na mafia a.k a drug dealer akiwa kama afisa upelelezi utapenda , alafu viwemo vyuma vya kutosha
Hawa wamarekani plastic surgery sana(face lifting ) imehusika hapo.Ongezea View attachment 2580330
Na huyuuu sijui wanatumia nin hawa watu
Boss unajua Yen nilimuona ktk Blade ya wisely Snipes ile ya mwisho wakiwa wanamtafuta Snipes ktk tunnels..au nilikosea...lakini sidhani kama nilikosea...ingawa hakuwa main characterSidhani. Jack ndio kaaza kutoboa kimataifa kabla ya Donnie, muvi yake hasa ya Rush hour ya 1999 ndio ilimpeleka Hollywood. Lakini Donnie Yen amekuja kuingia Hollywood hasa kwenye muvi ya Star Wars: Rogue One baadae pia akacheza kwenye XxX Return of xender Cage 2017.
Chan hakua mbumbumbu kasoma sidhani kama kapigwa kiivyo. Shida yake ni English, alikua hajui kingereza kabisa. Ukiangalia Behind the scene ya Rush Hour utacheka sana
Mkuu kama wewe Sura yako ndio kitega uchumi inakuingizia Pesa unadhani hautaongeza hata miaka miwili au mitatu (hata kama wewe hautaki ila kampuni zinazokumiliki lazima zitakwambia ufanye) sio hao tu Kina Arnold, Rambo, Jet Lee, Jacky Chain (hapo kabla, ingawa sasa hivi wameacha) na kwa wanawake kina Toni Braxton wote wamefanya hii kitu....Hilo nabisha ila kwa Wakorea sawa. Kuna yule chalii aliyecheza City Hunter ndio kazi yake
Hapana 71Sammo ni mkubwa sana ana miaka almost 80
71 ni almost 80 Mkuu,Hapana 71
Ntaitafuta namkubali sanaa.Umeona special ID?? kacheza kama muhuni ila anatembeza mkono balaa
East condor hatariiii. Kuna dem flan alikuwa anatembeza ngumiKuna kitu inaitwa Millionaire Express, Wheel in Meals, Project A ni nomasana. Ila Sammo Hung ni director mzuri sana huwezi amaini ndio aliandaa kitu cha Estern Condors. Nataka siku moja nikusanye muvi zao zote maana KIX hua zinaonyeshwa mara chache
Cc Secret ID mzee wa AltezzaSisi wabongo ukifika miaka hiyo na makunyanzi yako,
ati unajipa moyo
Ng'ombe hazeeki maini.