Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
-
- #261
Wewe mbona una kichwa kigumu, sijasema uwe lunatic nimesema adapt. M-treat mtu kwa jinsi alivyokuja kwako. Sasa limwanamke lishachezewa uko, lishaalibu kizazi abortions pills, si ajabu halina bikira hata moja halafu wewe ulichukue tu ilo limwanamke ulioe eti you are nice and humble, acha ufala mzee baba.Aisee Mkuu you do not get it..., watu hawapo sawa na kujifanya wewe humble wakati sio au kujibadilisha eti uwe lunatic kwa minajili kwamba dunia ndivyo ilivyo ni kuwa myopic to say the least..., Be Real Be Yourself stop acting sababu acting inakugharimu sana unakuwa unaishi maisha ambayo siyo yako (ukiishi maisha yako kwa mapenzi yako unakuwa na peace of mind)
Life is simple ni watu ndio wanai complicate
Huo msimamo hata maferminist na wanajiita wapambanaji sijui malkia wa nguvu wote watasalimu amri 😀😀Kuna wale mafala okota okota anakuta mwanamke kashazaa ana watoto yeye anakuja kuweka ndani. Wale machoko ndio wanawapa uhakika wa mapokezi baada ya kuharibu hawa takataka. Ipo hivi, siku wanaume tutakapokubaliana kuwa anaeolewa ni mwanamke bikra tu iwe mvua liwe jua na bila bikra ndoa hazifungwi na mahusiano hayarasimishwi mtaona hawa mabinti watakavyonyooka na haya masingle mothers pamoja na wasimbe watakavyopauka.
Jadili hoja usimjadili mtoa hojaMwanamke gani kakuumiza huyo brooo
Mada zako ni kuponda wanawake
Yaonakanaa una trauma wewe
😀😀😀😀😀Afu hadi nimeanza kuvutiwa nae. Mwanamke akiwa na jazba namna hii kitandani wanakuwaga watamu balaa. Hapa cha ajabu nikisoma comments zake nadinda balaa.
Hivi unajua hata opposite ya nice guy ni a jerk ?Wewe mbona una kichwa kigumu, sijasema uwe lunatic
Na mimi nakwambia be yourself with your own principles usibadilike sababu ya mtu kama mtu ataona hawezani na wewe atachukua hamsini zake kuliko ku-pretend something which you are notnimesema adapt. M-treat mtu kwa jinsi alivyokuja kwako.
Kwahio being nice guy ni kuchukua mwanamke aliyechezewa ? Na kama mtu kampenda huyo mwanamke na yeye anajua anachopata kwake who are we to judge (au hio pilipili inatuwasha vipi sisi kama muhusika ndio anaona amefika)? Na unadhani ukichukua bikra n.k. ndio kesho au keshokutwa hawezi kubadilika ? Au ukiwa rude kwake ndio atabadilika kutoka kuwa shetani na kuwa malaika ? The mere thought kwamba unaweza kumbadilisha mtu au kum-control makes me wonder if you are talking about people (au women in this case) au unaongelea preprogramed robots kama yule Eunice aliyepelekwa Bungeni...Sasa limwanamke lishachezewa uko, lishaalibu kizazi abortions pills, si ajabu halina bikira hata moja halafu wewe ulichukue tu ilo limwanamke ulioe eti you are nice and humble, acha ufala mzee baba.
You are a dream of all demaged women.Hivi unajua hata opposite ya nice guy ni a jerk ?
Na mimi nakwambia be yourself with your own principles usibadilike sababu ya mtu kama mtu ataona hawezani na wewe atachukua hamsini zake kuliko ku-pretend something which you are not
Kwahio being nice guy ni kuchukua mwanamke aliyechezewa ? Na kama mtu kampenda huyo mwanamke na yeye anajua anachopata kwake who are we to judge (au hio pilipili inatuwasha vipi sisi kama muhusika ndio anaona amefika)? Na unadhani ukichukua bikra n.k. ndio kesho au keshokutwa hawezi kubadilika ? Au ukiwa rude kwake ndio atabadilika kutoka kuwa shetani na kuwa malaika ? The mere thought kwamba unaweza kumbadilisha mtu au kum-control makes me wonder if you are talking about people (au women in this case) au unaongelea preprogramed robots kama yule Eunice aliyepelekwa Bungeni...
Damaged.., and how did they happen to be damaged ? By meeting nice men ? Or the opposite is what made them damaged in the first place ?You are a dream of all demaged women.
Does not matter what my personality is.., I am just myself and will neither act nor change for anyone... My point is be real don't pretend to be someone else, even if your are a jerk just continue being a jerk you will meet other jerks with whom you are compatible...Endelea kuwa nice and humble kwa wanawake, you will learn the hard way.
I rest my case
UnaboaSijifichi nipo hapa mbona.
Mwendawazimu kumbe..Sikudanganyi Anita, kila nikisoma majibu yako ya ukali mwili unanisisimka kuna hisia napata ambazo ni very rare, yaani nahisi we have a connection ambayo sijawahi kuwa nayo before.
Zero, Zip, Nada, Nil, 0️⃣0️⃣Is there any thing your young brothers can learn from these paragraphs??
Sidhani kama ni kweli hakuna kitu cha kujifunza kabisa kwa Wadogo zako wa kiume. Jaribu kuliangalia hilo katika hali chanya.Zero, Zip, Nada, Nil, 0️⃣0️⃣
Mnashindwa kujua kwamba kujitunza kwa wanawake ili wabaki na hizo bikira zao kutamaanisha na wanaume nao itabidi wajitunze, kwa sababu wanawake wote wakisema wajitunze hadi ndoa basi wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao kabla ya ndoa sasa ninyi kujitunza hamtaki, mkiambiwa subirini hadi ndoa mnajifanya eti hamtaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia halafu leo hii mnataka bikira sasa hizo bikira zitoke wapi mbona ni kama ninyi wenyewe tu hamjui au hamko tayari kufuata hicho mnachokiadvocateKuna wale mafala okota okota anakuta mwanamke kashazaa ana watoto yeye anakuja kuweka ndani. Wale machoko ndio wanawapa uhakika wa mapokezi baada ya kuharibu hawa takataka. Ipo hivi, siku wanaume tutakapokubaliana kuwa anaeolewa ni mwanamke bikra tu iwe mvua liwe jua na bila bikra ndoa hazifungwi na mahusiano hayarasimishwi mtaona hawa mabinti watakavyonyooka na haya masingle mothers pamoja na wasimbe watakavyopauka.
Wanaweza kujifunza kutokuwa playboys (kutochezea wanawake), ili utakapofika wakati wao wa kuoa wasianze kutukana wanawake, kwamba hawajitunzi na hawajiheshimu na siyo wife materialIs there any thing your young brothers can learn from these paragraphs??
Aiseee mimi natamani sana muanze huo msimamo tena ikiwezekana mfanye na conference kabisa kama ile ya beijing iliyohusu feminism halafu mwisho wa siku mbivu na mbichi zitajulikana, fanyeni yote mnayoyajua ila kitu kimoja ambacho nawahakikishia ni kwamba wanawake kamwe hawatakaa warudi kuwa kama bibi zetu lije jua ije mvua mpaka siku wanaume mtakapokuwa tayari kubadilika, vinginevyo endeleeni kufarijiana na kuwatukana wanawake hadi mwisho wa dahari mkidhani eti mnawakomoa na kwamba ndio watabadilika ilihali alama za nyakati zinaonesha wazi ni wapi tunapoelekeaHuo msimamo hata maferminist na wanajiita wapambanaji sijui malkia wa nguvu wote watasalimu amri 😀😀
Huyo ni Simp utamuelewesha ila yeye ana ng'ang'ania mfupa usiowezekana. Anachojua yeye ni kuwa mjinga kwa mwanamke ni deal.Wewe mbona una kichwa kigumu, sijasema uwe lunatic nimesema adapt. M-treat mtu kwa jinsi alivyokuja kwako. Sasa limwanamke lishachezewa uko, lishaalibu kizazi abortions pills, si ajabu halina bikira hata moja halafu wewe ulichukue tu ilo limwanamke ulioe eti you are nice and humble, acha ufala mzee baba.
Huyo ni Simp with Passion. Wa hivyo ndio wamendaliwa kuja kuwapokea masingle mother na wale wanawake wanaochezea muda wao kwasasa.You are a dream of all demaged women.
Endelea kuwa nice and humble kwa wanawake, you will learn the hard way.
I rest my case
Haya chukua zawadi yako nenda kawatumikie single mothers na wasimbe. Sisi wala hatuna haja ya kukubadilisha wala kutaka uwe tofauti.Damaged.., and how did they happen to be damaged ? By meeting nice men ? Or the opposite is what made them damaged in the first place ?
Does not matter what my personality is.., I am just myself and will neither act nor change for anyone... My point is be real don't pretend to be someone else, even if your are a jerk just continue being a jerk you will meet other jerks with whom you are compatible...
Naboa vipi sasa Anita Makirita ? [emoji848]Unaboa
Wazimu kukwambia ninachojisikia?Mwendawazimu kumbe..
Watoto wa kishua bwana. Wewe unakula bure na kulala kwa hisani ya wazazi unahisi na wenzako wana privilege kama zako.Mnashindwa kujua kwamba kujitunza kwa wanawake ili wabaki na hizo bikira zao kutamaanisha na wanaume nao itabidi wajitunze, kwa sababu wanawake wote wakisema wajitunze hadi ndoa basi wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao kabla ya ndoa sasa ninyi kujitunza hamtaki, mkiambiwa subirini hadi ndoa mnajifanya eti hamtaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia halafu leo hii mnataka bikira sasa hizo bikira zitoke wapi mbona ni kama ninyi wenyewe tu hamjui au hamko tayari kufuata hicho mnachokiadvocate
Wanaweza kujifunza kutokuwa playboys (kutochezea wanawake), ili utakapofika wakati wao wa kuoa wasianze kutukana wanawake, kwamba hawajitunzi na hawajiheshimu na siyo wife material
Aiseee mimi natamani sana muanze huo msimamo tena ikiwezekana mfanye na conference kabisa kama ile ya beijing iliyohusu feminism halafu mwisho wa siku mbivu na mbichi zitajulikana, fanyeni yote mnayoyajua ila kitu kimoja ambacho nawahakikishia ni kwamba wanawake kamwe hawatakaa warudi kuwa kama bibi zetu lije jua ije mvua mpaka siku wanaume mtakapokuwa tayari kubadilika, vinginevyo endeleeni kufarijiana na kuwatukana wanawake hadi mwisho wa dahari mkidhani eti mnawakomoa na kwamba ndio watabadilika ilihali alama za nyakati zinaonesha wazi ni wapi tunapoelekea
@Anita Makirita tumalize tofauti zetu, mwenzako nikisoma comments zako napata hisia za kukujali halafu nakuwa nakuonea aibu fulani hivi kama vile ndio natokea demu kwa mara ya kwanza kipindi nipo primary, hivi hatuwezi kuongelea hili swala wawili tu. I promise i'll be kind. I think i feel something kila nikisoma comments zako my dear,hebu kuwa na uvumilivu kunielewa.Mwendawazimu kumbe..