Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Kenya hakuna blog ukapeleke hizi promo za Kenyatta?Hakuna anayewachukia, Hamkutumwa kwend ICC mmeenda wenyewe, kwani hakun aaliyewalazimisha kukatana mapanga,.Chest Beating zenu za kishamba zimezoeleka Africa nzima, nyie ni debe tupu.heri humble Tanzanians.
Ukiwa hohehahe huwezi kuchagua pa kwenda, ndio maana kutwa kucha mmejaa disaster zones. Naona Kenyatta anawajulia kweli, mtapigwa miradi ya mpango mkakkati hadi awamu ya pili inaingia, halafu atawaambia sasa mkinipa kura nitamalizia miradi. WAKATI pesa hana. Athari kubwa ya uhohehahe ni ndoto za mchana.Hili jukwaa naona mmeamua lijae ndoto.
Kila la heri, naona hauna jipya, topic imetoka kuongelea AJIRA za bwana Kenyata imehamia kwenye miradi mbuzi, isiyo na mbele wala nyuma in the name of useless PR.
tragerdy of the commons.
Hivi wewe huoni aibu kujitwika sifa usizokuwa nazo? Na kama wewe ndio mwakilishi wa wakenya na huku ndio kuhoji na kudadisi basi wakenya kazi wanayo!...maana Wakenya tuna mazoea ya kuhoji na kudadisi...
Hivi wewe huoni aibu kujitwika sifa usizokuwa nazo? Na kama wewe ndio mwakilishi wa wakenya na huku ndio kuhoji na kudadisi basi wakenya kazi wanayo!
Naona unasumbuka peke yako hapa JF, kwa sababu wakenya wenye akili zao hawana muda na upuuzi kama huu.Hakuna mwakilishi wa Wakenya, kila mmoja wetu huja JF kwa madhumuni yake mwenyewe, lakini ukilianzisha na Mkenya, hakikisha una ufahamu wa ndani wa unachoongea kuhusu. Bure utaanza matusi muda usio mrefu ukibanwa.
Punguza kuvuta bangi na kukata viroba.Samahani nilijisahau sikujua ni wewe, kawaida huwa huna lolote na nitapoteza muda nawe, kwaheri.
Waanzilishi wa Jamii Forums walitengeneza Kenya sections, mahali ambapo huwa tunapost na kujadili mambo ya Kikenya, tatizo walisahau kuweka vigezo kwa nyie mnaohamia huku. Ilifaa wangeweka tahadhari kwamba kabla uonyeshe pua mahali Wakenya walipo hakikisha unajielewa na una uhakika na unachokisema, maana Wakenya tuna mazoea ya kuhoji na kudadisi na tunafata neno kwa neno. Naona siku nyingi umejaribu zile tricks zako za kuandika riwaya nzima ukidhani utaficha upum.bavu humo ndani. Ila tunakuumbua tu, tena neno kwa neno na hapabaki kitu.
Ukome sana, Wakenya ni moto wa kuotea mbali, hata kama wachache lakini wanazua joto linalotetemesha. Ndivyo tulivyo, tunakubana tu. Na hii iwe funzo kwa wengine, ukija kujadili na Wakenya, hakikisha umefanya utafiti na kusoma unachotaka kuongea kuhusu, bure utaumbuliwa halafu ubaki kutusi.
Punguza kuvuta bangi na kukata viroba.
Wewe Umekuja JF baada ya wengine humu kuwepo kwa muda mrefu hadi watoto wamezaliwa na kuanza kwenda shule,ilipoanzishwa, inawezekana hata kusoma na kuandika ulikuwa hujui.
JF ya wakati huuu imejaa vichwa maji kama nyie, na sio hichi kijisehemu cha kenya tu, ni karibia sections zote, millenials ni vurugu tupu. busara ni kuwaacha wakizodoana.
Ukitazama vizuri kila mada unaanzisha ili iishie kwenye huu upuuzi uliouandika. Nilishakuambia siku nyingi, na nimechoka kurudia,Wewe na wenzio wachache humu hamna lolote unaloweza kusema kuzidi uelewa wangu kwenye vitu ninavyovihafamu. Na sio kuwa najisifia,I have proven that beyond reasonable doubt.And that is just me, KIMWERI.mmezoea, kupiga mayowe kujisifia kwa vitu msivyo navyo, mkitegemea, wa-TZ wanyamaze, Najua hampendi nikiwajibu kwa kuwa ninawa-expose kwenye u fraudster wenu, kama yule tapeli, aliyejifanya amewahi ishi BJ,au yule Engineer wa kimataifa asiye na kigezo hata kimoja cha kimataifa, au nyie matapeli mnaojifanya mnaijua dunia wakati mbali mlikowahi ishi ni Tanzania kutafuta vibarua.I am good at things am good at, and i am not shy to lay it down to you, call it boasting but i back what i say, beyond reasonable doubt, wewe na wenzio kazi kupiga kelele wee, mkiulizwa swali moja, mnakimbilia Google, which ends up exposing your sorry ignorances more.
Hadithi za sisi wakenya moto wa kuotea mbali ndio utoto wa high school leavers ambao fair minded individuals will not tolerate.AM 100% sure kuna wakenya humu ndani are very annoyed by your endless stupidity.it's as if you are on a mission to embarass every level headed Kenyan reading JF.
I write more, kwa kuwa am used to write more, i can do a 20,000 words report in a few hours kwa kuwa what i write comes from my head, not from Google.That's the difference.
Tatizo, i can write a lot expanding on issues, not replying to a high schooler with over-abundance internet,and nothing to do with it.Proof of this ni hii mada. Mada inahusu KENYATTA kutoa kauli kuhusu hofu ya wakenya kukosa ajira kwenye nchi nyengine EAC, wewe unaleta hadithi za sisi wakenya moto wa kuotea mbali.
Yani wewe Raisi wako anashindwa kutengeneza ajira za kutosha nchini mwako hadi akawanadi kama mitumba kwenye nchi za wenzenu wewe unasifia.itafikia siku mtaambiwa nendeni TZ kulipwa mishahara mtasifia pia.Hakuna Raisi duniani anayesifia Raia zake kupata ajira nchi za wenzake, labda awe punguani na anaongoza hamnazo.
Kazi kubwa ya Head of State ni kutengeneza AJIRA nchini mwake, sio kutegemea NCHI ya mwenzie, itengeneze ajira halafu apeleke JOBLESS wake.The fact that unasifia lowest of the lows kama hizi, inaonesha ni jinsi gani hujielewi, wala hujitambui.
Sayonaraa.
Ukome sana, Wakenya ni moto wa kuotea mbali, hata kama wachache lakini wanazua joto linalotetemesha. Ndivyo tulivyo, tunakubana tu. Na hii iwe funzo kwa wengine, ukija kujadili na Wakenya, hakikisha umefanya utafiti na kusoma unachotaka kuongea kuhusu, bure utaumbuliwa halafu ubaki kutusi.
Mkuu,
Hawa wakenya ukosefu wa ajira umewafanya wawe JF residents, wakijaribu njia ya ku-release stress zao.
brother kimweri you deserve my respect sir,you have always been the master and vanquisher to jf kenyans.whenever they see your ID,they become mentally/physically weak.kizungu upo sawa,kiswahili ndio usiseme tena unakijua hata kile cha kihuni,posts zako ni shedaaaa!,ni mawe mazito.no wonder why they hate you.keep it up bro.
brother kimweri you deserve my respect sir,you have always been the master and vanquisher to jf kenyans.whenever they see your ID,they become mentally/physically weak.kizungu upo sawa,kiswahili ndio usiseme tena unakijua hata kile cha kihuni,posts zako ni shedaaaa!,ni mawe mazito.no wonder why they hate you.keep it up bro.
Mwehu ni mama yako aliyezaa mwendawazimu kama wewe....Yule mwehu wa kuangalia lugha Askari Kanzu mbona huwa anawakaushia...
brother kimweri you deserve my respect sir,you have always been the master and vanquisher to jf kenyans.whenever they see your ID,they become mentally/physically weak.kizungu upo sawa,kiswahili ndio usiseme tena unakijua hata kile cha kihuni,posts zako ni shedaaaa!,ni mawe mazito.no wonder why they hate you.keep it up bro.