Don't fear Kenyans, President Uhuru Kenyatta tells East Africans

Don't fear Kenyans, President Uhuru Kenyatta tells East Africans

Hakuna Raisi duniani anayesifia Raia zake kupata ajira nchi za wenzake, labda awe punguani na anaongoza hamnazo.
Kazi kubwa ya Head of State ni kutengeneza AJIRA nchini mwake, sio kutegemea NCHI ya mwenzie, itengeneze ajira halafu apeleke JOBLESS wake.The fact that unasifia lowest of the lows kama hizi, inaonesha ni jinsi gani hujielewi, wala hujitambui.

Sayonaraa.


Buda, wacha zako na ukuwange serious.

Tutaenda mahali pesa, kazi na moyo zinasema tuende.

Kama hutaki kutembea nchi zingine uwe expatriate huko, kaa kwako. Hakuna mtu ameku-force. Lakini si ati unaona watu wengine wanatembea alafu useme ati hawafai kufanya hivyo.
 
Buda, wacha zako na ukuwange serious.

Tutaenda mahali pesa, kazi na moyo zinasema tuende.

Kama hutaki kutembea nchi zingine uwe expatriate huko, kaa kwako. Hakuna mtu ameku-force. Lakini si ati unaona watu wengine wanatembea alafu useme ati hawafai kufanya hivyo.

Mie na ongelea angle ya Head of state wewe unaleta hadithi za individual pursuit of right to work/travel anywhere they wish.
APPLES and ORANGES.

any person can work wherever they wish,an elected official can not go on record promoting his people to work elsewhere,this is lunacy. y'all remind me of an Italian town mayor who set aside a jobless fund to assist people to travel to UK and German to look for job. It's desperation.

Credit is given to a head of state who generate jobs in abundance, the fact that you have more graduates than the job market can absorb is a huge policy blunder.

FYI,You have no idea where i am or what i do, so kindly focus this thread on the matter at hand, which is a head of state siphoning his people to get employed elsewhere,however uninvited they are.
 
Wewe ni punguani.

Farage ameshinda uchaguzi UK kwa kishindo kwa kampeni yake ya kuzuia wahamiaji kutoa ULAYA na Middle east. HIVI na akili yako kiduchu unafikira waingereza wanahofia hayo mataifa?

ngoja nikuelezee kidogo.

KUNA MATAIFA huwa hayatatui matatizo yao.wanatengeneza mabomu, graduates wasio na kitu kichwani wasio na kazi.nafasi chache za ajira, mgawanyo mbovu wa uchumi na uvurundo mwingi.

MATAIFA haya mara zote huwa na NET EMIGRATION.hakuna anayetaka kuishi kwenye hizi nchi. Mfano wa nchi hizi ni, ZImbabwe, Kenya, Western african countries, nchi za ulaya mashariki, mexico you name it.

Kuna nchi zina social welfare nzuri, zina opportunity kwa kila mtu, zina nafasi nyingi za kujiendeleza an kupata ajira, zina mgawanyo mzuri wa wasionacho na wenye nacho.

NCHI HIZI zina Net IMMIGRATION, Mfano, UK, Germany, US, Canada,Japan, Singapore, Tanzania, Botswana etc.

Sasa kinachotokea kwa nchi za kundi la pili, ama ni kupokea hawa wakosa kazi, au kuweka vizuizi.Marekani na UK, wameweka utaratibu mzuri sana, kama unavigezo flani, wao watakuomba ubaki, kama elimu yako ni ya kuunga unga, hupewi kazikwani kuna wenyeji wanaweza kuzifanya.

Ni utaratibu unaotakiwa uwekwe Tanzania pia, Kazi za Ualimu, basic jobs etc zipewe kwa mgeni mara baada ya tangazo kuwekwa kwenye gazeti kwa wiki 4 na asitokee mtanzania mwenye vigezo vya hiyo kazi.

simple and clear. Kama kuna watanzania 20 wewe mkenya mmoja si vibaya ukarudi kenya kutafuta kazi. Ndio utaratibu wa UK kwa mfano.

Mie sioni sababu ya kukataa kukaribisha the best from any nation in the world,its better.

Huu upuuzi wa kuajiri waalimu wa chekechea,wapagazi si mzuri, fro Social stability. Sio kwa TZ tu, hata kwa Kenya. Siku mkiwa na net immigration mtaelewa hili.

STOP mentioning me kwenye thread zisizo na kichwa wala miguu tafadhali.

Mkulu acha kupoteza muda wako wa maana kubishana na huyu. Yeye hana uwezo to decipher. Haya yote tuliyaongea sana. Hawa wageni hapa jf. Huwezi jisifia eti RAIA wako wanatoka nchi yako wa Naenda nje ya nchi. Kiuchumi ni shida....
Back 2009 tulijadili sana protectionism NDANI ya EU. Tukafikia muafaka kuwa protection of employment is inevitable especially in attractive and potential land.
 
uzuri ni kwamba they come and go for 10years.....huwezi kuuita mkutano wa watu wa nchi mbili kuwa ni wa region nzima. this is now sickening!!
 
Back
Top Bottom