Don't Worry, Don't Care, Don't Give a Dam!. Just let then say, Whatever They Say!, Watasema Mchana, Usiku Watalala

Pasco wa JF wa enzi zile alikuwa anaandika masuala ya msingi sana.
Pasco wa JF wa enzi hii ni yule anayetetea "personality",tena moja tu.
Kweli uzee huja na mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anatafuta kwa nguvu zote uteuzi uzeeni apate mafao ya kustaafu baada ya kugundua uandishi wa habari Awamu hii hauna thamani ingawa kule StarTV Mwenyekiti ametambua juhudi zake za kuunga mkono juhudi. Homeboys ni wengi mno nafasi za uteuzi zimejazwa na watangulizi wake waliounga mkono juhudi wakati njaa ya mwenzetu haijapanda. Mwanzo ndo wakulaumiwa, amechelewa!
 
He Tupo katikati ya tope LA COVID-19 unprepared, haikosi watawala wanajutia maamuzi yao ila hawafahamu jinsi ya kubadili hali.Wanatafuta nani wa kumtoa kafara na kubebeshwa lawama.Wameanza na SG wa Wizara,sasa wapo na Central Laboratory, who is next?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilichoka pale KIFAA KILIPOONESHA +VE lakini AKASIMAMISHWA KAZI YULE ANAYEKISIMAMIA HICHO KIFAA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa pale Quality Control Sample inapokuwa juice ya papai,badala ya kubadili mitambo tunamsimaisha kazi operator na kuendelea kutumia mitambo hiyo kufanya kazi hiyo hiyo.
Tumewaacha walioagiza hiyo mitambo,waliopeleka sample fake na kupokea majibu fake waki enjoy maisha.
 
Mwandishi wa makala hii ni nani? Yaani anatumia video na picha za uongo zilizotengenezwa na akina Ansbert Ngurumo kumshutumu rais? Rais Magufuli anahatarisha usalama wan eneo la Afrika mashariki sababu hakuna lockdown? Au anataka watu wakanyagane mpaka kufa kama huko kwao kenya wakigombea chakula.
Na hayo mahindi yanayotoka Tanzania mbona wanayagombania yakifika nairobi!
 
Msije kututembezea pira tutakavyoserebuka joka kuu likifa.
 
Kuna stampede ilitokea kilimanjaro!
Unga wa yanga ni matokeo ya njaa TANZANIA.
ARV ni matokeo ya (.....)

Endeleeni kumtukana mamba.

Anga kaanga tuu chini ya gae.
 
Nimeangalia Cnn kuna jamaa mzimbabwe anaitwa Farai Sevenzo amelipoti huu ujinga wake. Jamaa mwenyewe ni mzimbabwe anajipendekeza kwa mabeberu. Lakini amesahau kuwa wakenya wanalishwa na chakula toka Tanzania zaidi ya miaka mitatu.
 
Wakati huo maisha ya watanzania yakiendelea kuteketea?
 
Katika mambo yote aliyoyasema jiwe kuna jambo moja tu ndio nimeliona la muhimu aligusia swala wana michezo kuto kukumbwa na adha hili la Covid-19 na ata wakipata wana recover mapema na kutaka kuruhusu league iendelee maana mazoezi inaweza ikawa ni sehemu ya kinga kwa Gonjwa.

Ila kwa Mengine siwezi sema sana tumwache afanye anavyofanya kwa hekima na Busara alizojaaliwa na Mwenyezi Mungu. Period
 
Makala kama ile iliyopelekea ukaitwa bungeni ni mbaya sana aisee. Unatuhumu wabunge kwamba wapo bungeni kutoa huduma za kibinadamu? That was too bad. Hata mimi ningekua Rais ningechelewa au kuacha kabisa kukuteua kwa nafasi yeyote ile serikalini. No wonder pamoja na kujikomba kote huko mpaka leo hujakumbukwa. Ila nakuelewa Kaka. Tz ni ngumu aisee. Inafika mahali unamgongea mlango adui yako akusaidie. That's the reality.
 


Tatizo hujamwelewa mtoa mada hata kidogo
 

Kwa bahati mbaya sana; Magufuli atafanya "ulichomshauri" akifanye. Matokeo ya hayo naogopa hata kuyafikiri. Is this country doomed????
 
Ila mkuu paskal mwandishi wa makala kapotosha na kaonyesha chuki ya wazi kwa Magufuli,aisee!,huyu ni mtanzania mwenzetu anawaambia waajiri wake uongo wa wazi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hata mimi naamini katika mazoezi tuu hizo nyingine nahis ni hadithi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wandugu, hapa nafanya tuu follow up ya Corona nikipitia kujikumbusha niliwahi kuandika nini au kusema nini kuhusu Corona na hiki kinacho endelea sasa. Corona is real tusifanye masihara, tujilinde kwa kufuata ushauri wa kitaalamu.

Kila Jumamosi asubuhi kuanzia saa 1:30 hadi saa 3:00 asubuhi , Star TV, huwa ninakuwa live kwenye kipindi cha TV cha Jicho Letu Ndani ya Habari ambacho huwa kinatangwa live na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi, kwa Jumamosi ya kesho, mgeni wetu ni Waziri wa Habari, Dr. Harrison Mwakyembe tukijadili kuhusu athari za Corona kwenye sekta ya Habari, nini kifanyike.

Ukipata nafasi karibu utufuatilie.

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…