Don't Worry, Don't Care, Don't Give a Dam!. Just let then say, Whatever They Say!, Watasema Mchana, Usiku Watalala

Don't Worry, Don't Care, Don't Give a Dam!. Just let then say, Whatever They Say!, Watasema Mchana, Usiku Watalala

Wanabodi,

Kuna watu wanasema sema sana kumhusu Rais wetu Magufuli na hatua Tanzania tunazochukua dhidi ya janga la Corona.

Hii ni Makala ya Gazeti la The East Africa

We Should Tame Tanzania Before She Tames Us With COVID-19

John-Pombe-Magufuli-1024x577.jpg

My Take

Mr. President, Don't Worry, Don't Care, Don't Give a Dam on What They Say About What You Do on Corona, Just Keep on Doing What You Do as Long as You Do The Right Thing at The Right Time, and You Do it Right!. Just let then say, Whatever They Say!, Watasema Mchana, Usiku Watalala!.

Paskali.
Kumbe kuna watu walizungumzia kum tame mtu?!. Tukimaliza kuzika, tukae na watu hawa kuwauliza walipanga kum tame vipi?, maana kulitokea tetesi za mtu kupelekwa Nairobi hospital kwa siri na kurejeshwa kwa siri, could it be he was the one, and was tamed?!.

Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.

Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Kumbe kuna watu walizungumzia kum tame mtu?!. Tukimaliza kuzika, tukae na watu hawa kuwauliza walipanga kum tame vipi?, maana kulitokea tetesi za mtu kupelekwa Nairobi hospital kwa siri na kurejeshwa kwa siri, could it be he was the one, and was tamed?!.

Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.

Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali

Easy! Anza na hao waliompeleka nairobi na kumrudisha halafu mhariri wa gazeti kufuatia kama unaamini consiperacy hiyo
 
Back
Top Bottom