Doreen Andrew hala hala bibi we....

mwenye kisu kikali ndiye mla nyama ngoja na mie nimvutie waya tena mwisho wa mwezi ujao na wanakaa kaa pale tripple seven pale na kipabu fulani uchwara maeneo fulani lazima nimtongoze mwisho wa mwezi halafu tarehe 8 namwacha
Sema kweli![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
bantu anaoa mwezi wa saba dada ila sijajua kama ni wewe,doreen au mwingine ndo ataolewa,itafahamika tu hehehe mapenzi buana
 
huyo Bantu mnaye mgombania pesa anazo au kilaka tu wa ruge
 
Unamzungumzia bantu huyuhuyu anayejitangaza kupitia story zake ktk kipindi cha jahaz kwamba anapenda ngono na mademu kuliko chochote au Kuna George bantu mwingine?kama ni huyo povu lisikutoke bidada unapoteza Muda wako we liwa waache na wenzio waliwe kila mtu kwa wakat wake
 
huyo huyo mkuu
 
we dada bola utoe io sula ako kwenye avatar,unajiaibisha kwa tunaokufahamu
kwanza ile likizo ya wiki moja ulkua hukauki hapa clouds,kila unapoenda upo na bantu,sasa unataka kumpangia bantu nani wa kuongea nae na nan sio loh,
ugua pole
 
Doreen kamuokoe zilla
Yuko hoii co kwa
Kibuti kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…