Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
Kuna mdada mmoja anatangaza Clouds Fm kwenye XXL segment ya 411 story za wasanii wa ulaya lakini mda mwingi hua anapiga makelele na kucheka bila kueleza habari kwa ufasaha unacheka cheka sana jirekebishe Mrs zilla..