Doreen Mrema afunguka mazito!

Kwamba bibie alikufa akaoza kwa Mh. Ila wanawake hapana aisee 😂😂
Hapana huyu Alijiegesha akijua huyu Baba atakufa Mapema. Bora tu angejiita Nesi na si Mke. Mgonjwa wa Sukari, Dialysis, kutembea na kushika Vitu taabu. Kulikuwa na Ndoa gani hapo.? Gold Digger 🙄🙄
 
Ndo haya mnayokutana nayo.hivi unadhani ndugu zake watakubali kirahisi tu.ukae na ndugu yao chini ya mwaka uje kurithi Mali alizotafutq zaidi ya miaka 50+?
Sidhani kama anastahili mgao mkubwa ni ile tu kuappreciate kumlea ndugu yenu kipindi cha ugonjwa hata kama ni kwa muda mfupi.
Ana stahili kupata kidogo...ndio mtu ambaye mzee alimchagua awe karibu yake kipindi cha uzee wake why leo mumuache hana kitu kabisa? Not fair
 
Na wewe utakubali upewe kidogo wakati unasema ni mume wako wa NDOA?yaani happy wakikubali tu wampe kidogo wameshaajiingiza kwenye mtego.huyo mama hatokubali.MALI IBILISI
 
Na wewe utakubali upewe kidogo wakati unasema ni mume wako wa NDOA?yaani happy wakikubali tu wampe kidogo wameshaajiingiza kwenye mtego.huyo mama hatokubali.MALI IBILISI
Mimi nakubali chochote. Gari wasingemnyang'anya..ni kitu kidogo sana
 
Hapana huyu Alijiegesha akijua huyu Baba atakufa Mapema. Bora tu angejiita Nesi na si Mke. Mgonjwa wa Sukari, Dialysis, kutembea na kushika Vitu taabu. Kulikuwa na Ndoa gani hapo.? Gold Digger 🙄🙄
Alijiweka kimkakati sana na kuna hatari akakosa vyote sababu ya pupa.
 
Apewe UTEUZI
 
Hapa kwa kweli kuna shida bi dada sio mvumilivu kabisa ivi kirahisi tu wachaga wakupe urithi kwa miezi hiyo uliyokaa ndoani na anao wanae wakubwa tuu sidhani
 
Ndugu watafute vyao. Mke Halali atafute mwanasheria akapate haki yake mahakamani.
 
Yaani kule kwetu ukipeleka demu unaulizwa ametokea wapi ukisema arusha au moshi lazima upelekwe kwa sheh ukafanyiwe dua maana wanaona umeanza kuchanganyikiwa yaani hao waoane wenyewe kwa wenyewe tu wanapenda hela wako tayari hata kukutoa uhai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…