Dotnata afanya kufuru kwa kvuta "Hummer" la nguvu

Dotnata afanya kufuru kwa kvuta "Hummer" la nguvu

Pongezi mama. Endelea kutafuta shilingi Mungu akutanguie. I admire busy women no matter how little they do.
 
yaani huyu naye ni maarufu, mbona mimi simfahamu? na kama amenunua hiyo gari so what? kwa pesa gani? kuna watu wana mabilioni na mabilioni lakini hawanunui takataka kama hiyo, wanajenga nyumba, nyumba nyingi zingine hadi wanatunzia yatima, wengine wanalipia watoto yatima na wasiokuwa na uwezo ada za shule...sasa yeye kama ndo hivi, and so what? aende zake na pesa za mawazo hizo...gari kama hiyo si itachoka muda si mrefu, atakuwa amefaidika ni kutuzidi sisi wengine wenye magari ya kawaida tu? na tunafanya tangible things kibao kwa jamii?

Du! Kuna watu wana wivu sio mchezo. Pesa ni zake so she can do whatever she wants. Nani kakuambia kuwa hajajenga nyumba? Nani kakuambia kuwa hasaidii wenye matatizo? Pesa katafuta mwenyewe mwacheni atumie kama vile roho inapenda!!!
 
[B said:
doc1990[/B];1807025]nafikiri kuna mtu amenunua kupitia mgongo wake

Ona Huyu nae umejiunga juu ya post hii roho imekuwasha uko uliko balaa..Unafikiri kwanini usifikiri kanunua mwenyewe kwa pesa zake za biashara anazofanya hapo mjini....unajua kwa week end moja anaingiza sh.ngapi...tuna njia ndefu sana kufikia maendeleo kwa mawazo yako.

doc1990;
Join Date : 1st April 2011
Posts : 3
Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
 
Hemmer zipo used from dubai hivyo yeye kuwanayo siyo issue hata hivyo nimfanya biashara!ml,35 unapata hemmer.
 
Hapa kuna la kujifunza. Sina tatizo na mtu kuwa na gari, gari ni muhimu sana kiasi kwamba hata kama huna nyumba unaweza ukanunua kwanza gari na nyumba (kulingana na mazingira unayoishi) ikafuata baadae. Ila nina tatizo na gari ya gharama (or any other "toys") kubwa kiasi hicho. Gari kama hiyo inamfaidisha mtu mmoja tu, wakati kwa pesa hiyo hiyo unaweza ukajenga shule ambayo itafanya watu wapate maarifa/elimu, waalimu wapate ajira, na mwekezaji apate faida. Gari kama Hummer haileti pesa, bali inakula pesa ktk mafuta na vipuri. May be I don't know how it feels like to be a star....

being a star,ndo kama hivyo my dia! Hii ndio 'danganyika' yetu..
 
Mbona Kuna Hummer Kibao Barabarani Hamjawaleta Owners Huku,
Acheni Discrimination
 
KAMA KAWA DADA DOTNATA DO YA THING,ULPÖANZA KWA BIASHARA YA CATERING WALIHIS UTAMBWELA. Big up kwa sana na usisahau KU-PIMP RIMZ!
 
roho mbaya itaua watu hususani wabongo wengi....hummer akinunua dotnata kelele je angenunua babu wa loliondo ndo lingekuwa halali?
 
Huyu dada inaonekana kabisha kuwa hajasoma shule. Hiyo ni bad investment.Kwanini a-invest 270m kwenye asset ambayo ina depreciate more than 15% annually (na ma repair costs kibao) wakati angeweza ku invest kwenye property nzuri ya biashara ambapo repair costs are minor, returns are long term and appreciation ni kubwa. Ulimbukeni tu. Maana nyumba iko stationary haijitembezi na kwa vile Hammer inajitembeza basi anataka aongeze umaarufu ki hivyo. Very sad.
 
Sasa wauza sura watajipeleka wenyewe kama vile mbwa anavyojipeleka kwa chatu huku mkia kaufyata katikati ya miguu yake,boyz II mamaz kazi kwenu,ngoma inogile
 
Huyu dada inaonekana kabisha kuwa hajasoma shule. Hiyo ni bad investment.Kwanini a-invest 270m kwenye asset ambayo ina depreciate more than 15% annually (na ma repair costs kibao) wakati angeweza ku invest kwenye property nzuri ya biashara ambapo repair costs are minor, returns are long term and appreciation ni kubwa. Ulimbukeni tu. Maana nyumba iko stationary haijitembezi na kwa vile Hammer inajitembeza basi anataka aongeze umaarufu ki hivyo. Very sad.
Misifa kaka hakuna kitu kingine baada ya kupaishwa sana na wazaire sasa mami anatka kuwafunga mdomo,no way kitega uchumi cha 250 M kitakulipa kwa kukodisha gari hiyo ni sawa na kuuza ng'ombe wako na ununue kuku eti atakutagia mayai yatakayo kuingizia kipato
 
Wana JF makini kweli kwa uchambuzi. January nimelipia brand new Volkswagon Beatle kutoka kiwandani Ujerumani. Bei siri yangu. Ndio wanamalizia kuitengeneza.
 
bongo bwana ushamba unatusumbua, hilo ndio suala la kuandika kwenye gazeti. Safi dada mwenyewe kajieleza vizuri yaani hajashoboka kabisa tofauti na mwandishi wa habari hy
...Wasipofanya hivyo watakufa njaa hao mazee kila siku habari ni kuchungulia maisha ya watu hakuna kitu kingine......Bongo lala kabisa..:mmph::mmph:
 
afanye nn tena km k yake anaitumia vizuri.......................
 
keep it up mama,hata mie na vision ya kununua ila ni la kulia raha tu,,,,,pesa kama ipo unaifanyaje jamanii?mh!

 
wabongo tatzo lenu uoga dotnata anajua anachofanya kama anauza mwili wake au anauza sijui nn lakin dada anafanya kazi naimba mzika hata kama wananunua ndugu zake lakini anapata kidogo anacheza filamu,anauza sijui nn hali mradi yeye kwa siku anaingiza cash sasa nyie mnaogopa ndio maana oooh cjui humme hawauzi cjui used yote juu ya nn?mpeni chake dada anasaka kwa nguvu zake sasa mtajiju NA HASIYE NA DHAMBI BASI NA AMPIGE JIWE HUY DADA'BIGUP DOTNATA'we nunua hata ndege ukizikamata dunia haina mwenyewe mwisho wa siku wote tunasepa''STUPID NYIE WAOGA.
 
Back
Top Bottom