Doto Biteko kanusha tuhuma zinazokuandama mtandaoni vinginevyo Watanzania wataaamini kuwa ni kweli

Doto Biteko kanusha tuhuma zinazokuandama mtandaoni vinginevyo Watanzania wataaamini kuwa ni kweli

Tusianzishe tu mambo kama hakuna uthibitisho. Ili yeye aweze kukanusha, pengine kungewekwa ushahidi wa wanayomtuhumu. Uzushi na fitna imekuwa kama ngao ya kufanya siasa Tanzania. Tunapokosa mambo yenye mashiko huwa tunakimbilia hata mambo ambayo ili tuyaseme lazima tuwe na akili nusu ya robo tatu.
Kweli mkuu
 
Waziri wa Madini Doto Biteko kwasasa ni vyema utoke hadharani wewe kama wewe na kukanusha tuhuma zote zinazokuja katika mitandao mbalimbali ya kijamii kama inavyosema kuwa katika awamu ya sita ulifanya Wizara ya Madini kuwa ni sehemu ya kanda yenu.

Kanusha kuhusu wizi wa madini ya Tanzania kama wale vijana wa Mererani wanaapolo walikuwa wanasema kuwa ulikuwa unachukua madini yao

Kanusha pia kuwa wewe ni mtanzania na si Mburundi, kanusha pia kuhusu mpango wa kitalu C cha Mererani kuwa ulitaka kukihodhi

Jipange ukanushe yote ikiwa pamoja kuwa hayati hakuwa mpwa wako kama mitandao inavyosema

Yaani kanusha vyote vyote ili mambo yaende sawa.
Takataka
 
Kwanini akanushe, shauri atolee ufafanuzi [if that] sio akanushe tu.... vipi ikiwa ni za kweli?
 
"Pale Mererani Kitalu C kisiguswe" by Mama Samia Hasssan Suluhu.

Kumbe mafisi yalishaanza kukimendea.
JamiiForums-460750266.jpg
 
Back
Top Bottom