Doto Biteko njia alotengeneza Makamba ni mbovu. Kwa kuanza tengeneza yako!

Cha muhimu wasianze kumkwamisha na maagizo toka juu. Jamaa ni mwadilifu na myoofu kweli. Atawanyoosha wahuni walianza kujiwekea mirija huko.
 
Kila mtu akiteuliwa atengeneze njia si zitajaa njia kuliko maendeleo kwa watanganyika?
 
Amtumbue Maharage ameminya maslahi ya watumishi TANESCO kiasi kwamba hujuma ni kubwa kwa sababh hawana molali ya kazi na ndicho kilichomfelisha Dkt Samia na Makamba. Hakikisha anarudisha uongozi wote ulioondolewa na Makamba kwa mihemuko, hakikisha wizara unaiongezea molali ya kazi.
 
Hiyo U turn ya sukuma gani imekuwaje tena jamani wwkati tulikubaliana sukuma gan ni kuwafagia wote
Hahahahahahahaaaaaa!
Haters mnahangaika kweli kweli! Mbona mnazusha, mnapanga, mnaongea na kujijibu wenyewe?!!!!!! Mama anawapeleka mbio ee?!!!!! Na bado, ataendelea kuwaacha mteseke na maendeleo yake hata baada ya kurudi zake kizimkazi baada ya kuishiwa muda.
 
Eti haipo kikatiba.

Hivi mnaifahamu mamlaka ya Rais wa Tanzania kikatiba?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Aangalie upya mkataba wa Mahindra maana una ukakasi sana
 
Eti haipo kikatiba.

Hivi mnaifahamu mamlaka ya Rais wa Tanzania kikatiba?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kuna wakati unqvomment kama vile umekpsa akili kabisa.

Wewe unaweza kutaja kifungu chochote linachoitaja nafasi ya naibu Waziri Mkuu?
 
Kwa yaliyotokea kuhusu DP World nadhani Kuna dude huko mbele linakuja ambalo kwa vyovyote Makamba angegoma ndo maana mama ameanza kutengeneza mazingira. Nadhani TANESCO nayo imo kwenye hayo mamikataba 36 ya waarabu. na kwa kumlinda zaidi Biteko ameona ampe na Unaibu Waziri Mkuu Ili Biteko awe ajisimamia yeye mwenyewe, hatakuwa responsible kwa Majaliwa.. Hakuna utawala wa
Sheria hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…