Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Hongera Sana MsomiNatafuta wasomi wenye akili wawili wenye utaalamu wakusaka follow Kwa mitandao waje wawe wakupost kazi ninazofanya kadri tupatapo wateja wengi tufanye mpng tufungue kampuni yetu ,,,,japo mwanzo mgumu
Nyoosha maelezo boss,follows utapata and sio bots...Natafuta wasomi wenye akili wawili wenye utaalamu wakusaka follow Kwa mitandao waje wawe wakupost kazi ninazofanya kadri tupatapo wateja wengi tufanye mpng tufungue kampuni yetu ,,,,japo mwanzo mgumu
Ukiumwa unaharisha huko mbona unasumbua madaktari si ujitibu mwenyewe bwege wewe kama kusoma hakuna maanaA). Mfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari ameonekana kwenye mitandao akizungumzia namna Wasomi nchini wasivyojitambua Wala kutumia usiku wao kuongeza kipato.
B). Namnukuu "wasomi mmesomea Njaa" jaman lolote......
3). Mheshimiwa Dotto ana hoja ya msingi kuhusu kubweteka Kwa Wasomi wetu. Asikilizwe, ana hoja.
NB: Wasomi msikilizeni Kwa makini, msitumie mihemko kumjibu.
Inafurahisha sana kusikia hayo aliyozungumza napia ina sikitisha sana aliyoyazungumzaA). Mfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari ameonekana kwenye mitandao akizungumzia namna Wasomi nchini wasivyojitambua Wala kutumia usomi wao kuongeza kipato. Na kutishia kwenye dimbwi la umaskini akifanikiwa Sana ananunua Hari ya IST Tena Kwa mikopo wa benki.
B). Namnukuu "wasomi mmesomea Njaa" jaman lolote......
C). Mheshimiwa Dotto ana hoja ya msingi kuhusu kubweteka Kwa Wasomi wetu. Asikilizwe, ana hoja.
NB: Wasomi msikilizeni Kwa makini, msitumie mihemko kumjibu.
Anatafuta pesa akanunue gari kwa Dotto Magari sasa huyo Dotto Magari kaamua kwa makusudi kabisa kuua brand yake ya magari niliona kule tick tick sasa magrroup kibao WhatsApp wanaambiana usiende kwa Dotto Magari kununua gari kama msomi auzie wasiosoma wenzieSasa kama msomi anatoka kazini saa 11 jioni, analala hadi saa moja asubuhi ndio aende tena kazini kuna mtu hapo? Masaa 12 yupo tu kisingizio usiku, hata kuanzisha kijiwe cha supu ya jioni au hata kuchoma makuku zezeta na viungo kibao hataki atakuzaje kipato
Huyu jamaa ni mpumbavu sana hajielewi. Hajui hata wigo wa wasomi unaanzia wapi unaishia wapiUkiumwa unaharisha huko mbona unasumbua madaktari si ujitibu mwenyewe bwege wewe kama kusoma hakuna maana
Daktari asingesoma huyo Doto magari angetibiwa na hayo magari yake takataka toka majalala ya Japan anayouza huyo bwege?
Ndege anazopanda ATCL mfano marubani wasomi wasingesoma angeendesha yeye? Au treni ya SGR yeye angeendesha kama kusingekuwepo na watu walioamua kusoma?
Madaktari huyo bwege Dotto magari akija hosputalini kutibiwa na yeyote anayedharau wasomi hadharani iwe bungeni nk msimtibu na mwambieni kabisa elimu haina maana na kusoma hakuna maana ikiwemo.kusomea udaktari nenda kwa wasiosoma wenzio wakakutibu bwege wewe
Wasomi ifike mahali mchachamae kuleta heshima kwenye elimu
Watu kama hawa wakikanyaga hospital wafanyizieni
Yuko na kule tiktok wasomi na wapenda wasomi susieni magari yake asinine mtu kwake
Inasikitisha anaua brand name ya biashara yake mbele ya watejaInafurahisha sana kusikia hayo aliyozungumza napia ina sikitisha sana aliyoyazungumza
Ni kama ana taarifa za Wasomi wengi kununua IST tu huku yeye akijikita kwenye SUVs (Land rover discovery, Range), Ford, Land cruiser etc.Anatafuta pesa akanunue gari kwa Dotto Magari sasa huyo Dotto Magari kasmua kwa makusudi kabisa kuua brand yake ya magari niliona kule tick tick sasa markup kibao WhatsApp wanaambiana usiende kwa Dotto Magari kununua gari kama msomi auzie wasiosoma wenzie
una HPDNatafuta wasomi wenye akili wawili wenye utaalamu wakusaka follow Kwa mitandao waje wawe wakupost kazi ninazofanya kadri tupatapo wateja wengi tufanye mpng tufungue kampuni yetu ,,,,japo mwanzo mgumu
Hujasikiliza Bill Gate Bililionea namba moja duniani hulala masaa manne tu katika saa 24Sasa kama msomi anatoka kazini saa 11 jioni, analala hadi saa moja asubuhi ndio aende tena kazini kuna mtu hapo? Masaa 12 yupo tu kisingizio usiku, hata kuanzisha kijiwe cha supu ya jioni au hata kuchoma makuku zezeta na viungo kibao hataki atakuzaje kipato
Shida iko wapi gari ni usafiri tu wa kukutoa point A kwenda Point BNi kama ana taarifa za Wasomi wengi kununua IST tu huku yeye akijikita kwenye SUVs (Land rover discovery, Range), Ford, Land cruiser etc.
Ana lopoka sanaHuyo ni bwakubwaku