MAKONGOLOSII
JF-Expert Member
- Jul 31, 2024
- 413
- 640
Anaweza kua na hoja ila uwasiliahaji zero.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala usinifundishe kaz bro, huyo ameyakanyaga muda sana.Ukiumwa unaharisha huko mbona unasumbua madaktari si ujitibu mwenyewe bwege wewe kama kusoma hakuna maana
Daktari asingesoma huyo Doto magari angetibiwa na hayo magari yake takataka toka majalala ya Japan anayouza huyo bwege?
Ndege anazopanda ATCL mfano marubani wasomi wasingesoma angeendesha yeye? Au treni ya SGR yeye angeendesha kama kusingekuwepo na watu walioamua kusoma?
Madaktari huyo bwege Dotto magari akija hosputalini kutibiwa na yeyote anayedharau wasomi hadharani iwe bungeni nk msimtibu na mwambieni kabisa elimu haina maana na kusoma hakuna maana ikiwemo.kusomea udaktari nenda kwa wasiosoma wenzio wakakutibu bwege wewe
Wasomi ifike mahali mchachamae kuleta heshima kwenye elimu
Watu kama hawa wakikanyaga hospital wafanyizieni
Yuko na kule tiktok wasomi na wapenda wasomi susieni magari yake asinine mtu kwake
Mimi tunajuana vzr sanaWatu wote wa kino dotto wanamjua vizuri, halafu kilikuaga chembamba sana
Albert Einstein aliwahi kusema,Watu wengi wanachanganya kati ya "Akili" na "Elimu" kitu ambacho ni tofauti kabisa ..
Mminyo wa Kodi haujawaingia vizuri hawa mbwa ,ndio maana wanaongea shit kama kahaba aliyemeza dickIfike mahali serekali iwasajili hawa madalali.ili uchungu wa kulipa kodi kulingana na pato lako uwaingie.Madalali wanapata pesa ila kwakuwa hawajasajiliwa kuna pesa serikali yetu inakosa ebu wafanyiwe trela la usajili tuone hizi mbwembwe na uchawa kama bado zitakuwepo😄😄😄
Ukute huyu fala ni punda wa akina Alex masawe na Yale mamafia ya mjini ya biashara za kona konaMimi tunajuana vzr sana
Kuna wakat nlikuwaga na coaster
Napiga route ya mwananyamala posta...kuna siku moja moja nlikuwa nakomaaga mwenyewe,ashanipigia sana debe ....wakat huo manyanya pale pa moto mateja wamezaga kama mazombie 😄 ilikuwa shuguli
Sasa nkj kupotea siku namuona
Yuko maskani kule nyuma ya mwanamboka kuna bar inaitwa full stop,dotto huyo kaulamba
Dotto kabadilika...sema vizinga vya bia tu uchawa hapo anawafanyia wale matajiri kina sawe na wengine hapo
Mara eh kaingia mitandaoni 😄
All in all wamuache kapitia mengi
Ova
Najua dotto wewe wamjua vizuri, na maneno maneno dotto hajaanza leo kama unavomjua, sema tu Kwa sasa anatakiwa kua na mtu wa kumcontrol ili kila anachosema asepe na makundi yote, maana hata hao wasomi hua analenga magari yao, na anafanya nao biashara, japo anawaeleza ukweli kabisaMimi tunajuana vzr sana
Kuna wakat nlikuwaga na coaster
Napiga route ya mwananyamala posta...kuna siku moja moja nlikuwa nakomaaga mwenyewe,ashanipigia sana debe ....wakat huo manyanya pale pa moto mateja wamezaga kama mazombie 😄 ilikuwa shuguli
Sasa nkj kupotea siku namuona
Yuko maskani kule nyuma ya mwanamboka kuna bar inaitwa full stop,dotto huyo kaulamba
Dotto kabadilika...sema vizinga vya bia tu uchawa hapo anawafanyia wale matajiri kina sawe na wengine hapo
Mara eh kaingia mitandaoni 😄
All in all wamuache kapitia mengi
Ova
Hana mambo hayo upundaUkute huyu fala ni punda wa akina Alex masawe na Yale mamafia ya mjini ya biashara za kona kona
Kweli 😄Najua dotto wewe wamjua vizuri, na maneno maneno dotto hajaanza leo kama unavomjua, sema tu Kwa sasa anatakiwa kua na mtu wa kumcontrol ili kila anachosema asepe na makundi yote, maana hata hao wasomi hua analenga magari yao, na anafanya nao biashara, japo anawaeleza ukweli kabisa
Sahihi kabisa Mkuu,Msomi hawezi kuchukia anachofanya dotto au kumtukana.
Being educated means -being civilized the guy Dotto anaweza kuwa anakosea Ila kumjibu na kumtukana Ndo yeye anapenda maana anachotafuta yeye ni attention either iwe positive au negative.
So ile humbleness, positivity , kuwa cool ndo inabeba usomi .
Hivyo MTU makini na msomi hawezi kumjibu dotto in negative way
So alichoongea hapo kuhusu wasomi kusukuma IST ni kweli yupo sahihi kwa uelewa wake haina haja ya kumjibu kwa kumtukana.
Kumbuka unapomtukana na kumuongelea hivi yeye ndo anapenda maana anaendelea kuwa midomoni mwa watu na kutengeneza pesa.
✊🏿Sahihi kabisa Mkuu,
Kumtukana Dotto ni kukubaliana na alichokisema kua ni sahihi,
Unapoanza kumtukana Dotto inakua ngumu kumtofautisha nani msomi na nani sio msomi.
Mbona anatukana tu hatoi hoja. Tatizo la watu wenye elimu ndogo ni moja wana hasira na watu wenye elimu kubwa, na wanataka kuwaona wanafeli kiuchumi ili wawatumie kama mifano kusema elimu ya darasani haina maana kwasababu wao hawana. Anadai wasomi wanatembelea IST, hii sisi wasomi tunaita hasty generalization. Kuna wasomi wengi wanatembelea gari bei kubwa ambazo walizipata kupitia benefits za elimu zao. Pia gari sio kipimo cha mafanikio ya kiuchumi mwambie doto magari kabla ya kuwaita watu wana njaa anastahili japo ka course kuhusu mambo ya development ajue tunapimaje umasikini.A). Mfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari ameonekana kwenye mitandao akizungumzia namna Wasomi nchini wasivyojitambua Wala kutumia usomi wao kuongeza kipato. Na kutishia kwenye dimbwi la umaskini akifanikiwa Sana ananunua Hari ya IST Tena Kwa mikopo wa benki.
B). Namnukuu "wasomi mmesomea Njaa" jaman lolote.
C). Mheshimiwa Dotto ana hoja ya msingi kuhusu kubweteka Kwa Wasomi wetu. Asikilizwe, ana hoja.
NB: Wasomi msikilizeni Kwa makini, msitumie mihemko kumjibu. Bali jibuni hoja kwa hoja. Msimtukane Wala kumbughudhi hapo ndo kipimo cha usiku wenu kitaonekana.