Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
- Thread starter
- #21
Wasomi wengi wanataabika na mikopo umiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo lijamaa ni limpapai, lisitupotezee muda!Watu wanachanganya usomi na fikra za kibepari!
Usomi ni maarifa...
Watu wengi wanachanganya kati ya "Akili" na "Elimu" kitu ambacho ni tofauti kabisa ..Kuna point moja ameiongelea hapo,
Namnukuu;
"Unaweza ukawa umesoma ila ukawa huna akili,na unaweza ukawa na akili ila ukawa haujasoma"
Bila shaka hapa ndio kwenye point yake hasa.
Acha watukanwe tu, wasomi wenyewe akina mwijaku (wapakuliwa)Ana lopoka sana
Nahisi dawa za kuacha uteja
Zinampel3kesha resi
Ova
Ana utajiri gani, yule hana kitu kama wenzie, lakini tunamuunga mkono Kwa sababu wasomi wenyewe pia wameshikiwa akiliDotto hajui kusoma wala kuandika ila tajiri.
Ishu sio msomi hawezi kutafuta pesa kama za dotto ishu ni muda wa kupambana na majukumu zaidi ya niosomoea, muda nliotumia kukaa shule yeye yupo mtaani, mantiki ya kusoma ni kufanya upatkanaji wa fedha usiwe mgumu katika kutafuta. Yamkin maarifa nilionayo sas ndio yalimchangia huyo dotto kufikia hapo hatukuumbwa wote kuwa matajiri,A). Mfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari ameonekana kwenye mitandao akizungumzia namna Wasomi nchini wasivyojitambua Wala kutumia usomi wao kuongeza kipato. Na kutishia kwenye dimbwi la umaskini akifanikiwa Sana ananunua Hari ya IST Tena Kwa mikopo wa benki.
B). Namnukuu "wasomi mmesomea Njaa" jaman lolote......
C). Mheshimiwa Dotto ana hoja ya msingi kuhusu kubweteka Kwa Wasomi wetu. Asikilizwe, ana hoja.
NB: Wasomi msikilizeni Kwa makini, msitumie mihemko kumjibu. Bali jibuni hoja kwa hoja. Msimtukane Wala kumbughudhi hapo ndo kipimo cha usiku wenu kitaonekana.
😄 ila kwa tunaomjuwa huyu jamaa kapitia mengi..kipindi hicho mteja gari limewaka,anapiga debe manyanya ila dotto na uteja wake hajawahi kuwa mwiziAcha watukanwe tu, wasomi wenyewe akina mwijaku (wapakuliwa)
Huyu naye ni mchumia tumbo kama wengine tu mkuu.A). Mfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari ameonekana kwenye mitandao akizungumzia namna Wasomi nchini wasivyojitambua Wala kutumia usomi wao kuongeza kipato. Na kutishia kwenye dimbwi la umaskini akifanikiwa Sana ananunua Hari ya IST Tena Kwa mikopo wa benki.
B). Namnukuu "wasomi mmesomea Njaa" jaman lolote.
C). Mheshimiwa Dotto ana hoja ya msingi kuhusu kubweteka Kwa Wasomi wetu. Asikilizwe, ana hoja.
NB: Wasomi msikilizeni Kwa makini, msitumie mihemko kumjibu. Bali jibuni hoja kwa hoja. Msimtukane Wala kumbughudhi hapo ndo kipimo cha usiku wenu kitaonekana.
😄Wasomi mnaokasirika kwasababu kwa haya maneno ya huyu mtu ni kweli wengi wenu mna maisha magumu na hamridhiki na kipato chenu na mbaya zaidi hamna mnaloweza fanya kukuza kipato...
Kwenye haya maisha kuna watu wengi hawana uwezo wa kununua hizo gari za gharama lakini kwa maono yao wamefanikiwa, elimu yao imewalipa na wameridhika na wanachokifanya na wanakifurahia.
Shida ipo kwa ninyi wasomi mnaotaka kushindana na kina Doto kua na V8, una uhakika wewe unaitaka hiyo?? Hiyo ndo ndoto yako? Au Doto Magari amekuinsipire kua ili uwe umefanikiwa ni lazima uwe na gari kali na uishi kama anavyoishi yeye mtandaoni??
Huo usomi wenu uko wapi hadi kutoa shutma na kumkasirikia huyo kijana?
Mna wivu nae ...
Kufanikiwa ni nini kwako? Kama mnaelea pamoja na Doto Magari basi kejeli zake zinakuhusu sana wewe msomi maskini.
Watu wote wa kino dotto wanamjua vizuri, halafu kilikuaga chembamba sana😄 ila kwa tunaomjuwa huyu jamaa kapitia mengi..kipindi hicho mteja gari limewaka,anapiga debe manyanya ila dotto na uteja wake hajawahi kuwa mwizi
Sema ukikutana naye alikuwa mtu wa sound!
Wenzake wengi walishatangulia mbele ya haki
Haya maneno maneno toka zamani 😄
Ova
Ukiambiwa ukweli jifunze, usitukane.😄
Ova