king kabagwa
Member
- Sep 9, 2024
- 34
- 33
Hv we ata chanjo ya kuku unaweza kutengeneza kweliWala usinifundishe kaz bro, huyo ameyakanyaga muda sana.
Ameingia kwa msomi mtoto wa uswahilini fitina tunaziweza.
Kumtengenezea Biological weapon ni sekunde tu.
Dalali huyo hio kazi hata wewe unafanya kikubwa connection tuMfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari
Point gani wewe kiboga?Point
Mla unga mstaafu sasa anakula pension?Ana lopoka sana
Nahisi dawa za kuacha uteja
Zinampel3kesha resi
Ova
Upande ghorofani kwa PdidyMe nataka kujua ili uitwe au uwe msomi unatakiwa uwe na vigezo gani
broo na wew unamskilizampumbav mungu mwenyew na din yake anakusisitiza usome ili uelimike asume watu ote kusingekua na wasom ukiumw utatibiw na nan nan angetengenez panado uyo aliobun hela pia ni msom aliumiza kchwa akaja na idea izo sim na compyuta walitngeneza ma brainer ambao wasomi alaf uyo sio muuza magar ni dalal tu hat we ukiw na gar unaliuza unaend kumtuma akuuzie apate ganj hana mtaj wa pesa ana mtaj wa uamnif ndoman anapew magar yakuuza elim ieshimiwe mtu mweny elim ni tafaut sn na mjinga ht kweny utaftaj wangap hawan elim wanashik hela znaend ovyo wangekua na elim wange manage uyo anakwmbia kusom ujinga ajil ana chanel ya kudalalia ila itakuj zama amna mtu atanunua gar ya mkonon zman wauza sim agrey lumumba walkua wanapg hela na cm za kuunga leo nan ananua sim mtaan instead of shop? ipo sik ht magar itafkia mtu ana oder japan anaagiza anatoa kwa gharam nafuu sio uende show room ukapgwe tukifkia uko atakua na adab km madalal wa sim za wiz wqlivkua na adab sas ivA). Mfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari ameonekana kwenye mitandao akizungumzia namna Wasomi nchini wasivyojitambua Wala kutumia usomi wao kuongeza kipato. Na kutishia kwenye dimbwi la umaskini akifanikiwa Sana ananunua Hari ya IST Tena Kwa mikopo wa benki.
B). Namnukuu "wasomi mmesomea Njaa" jaman lolote.
C). Mheshimiwa Dotto ana hoja ya msingi kuhusu kubweteka Kwa Wasomi wetu. Asikilizwe, ana hoja.
NB: Wasomi msikilizeni Kwa makini, msitumie mihemko kumjibu. Bali jibuni hoja kwa hoja. Msimtukane Wala kumbughudhi hapo ndo kipimo cha usiku wenu kitaonekana.
Kwahiyo hiyo mipasho ndiyo ipo kwenye speech yake huko SUA!!! Nashauri Mama Wema Sepetu naye aalikweA). Mfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari ameonekana kwenye mitandao akizungumzia namna Wasomi nchini wasivyojitambua Wala kutumia usomi wao kuongeza kipato. Na kutishia kwenye dimbwi la umaskini akifanikiwa Sana ananunua Hari ya IST Tena Kwa mikopo wa benki.
B). Namnukuu "wasomi mmesomea Njaa" jaman lolote.
C). Mheshimiwa Dotto ana hoja ya msingi kuhusu kubweteka Kwa Wasomi wetu. Asikilizwe, ana hoja.
NB: Wasomi msikilizeni Kwa makini, msitumie mihemko kumjibu. Bali jibuni hoja kwa hoja. Msimtukane Wala kumbughudhi hapo ndo kipimo cha usiku wenu kitaonekana.
Kwa hiyo ni udereva tu ππππHapo kwenye urubani umechemka bro, ada tu ndo kubwa hamna usomi kule
Hoja imetolewaA). Mfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari ameonekana kwenye mitandao akizungumzia namna Wasomi nchini wasivyojitambua Wala kutumia usomi wao kuongeza kipato. Na kutishia kwenye dimbwi la umaskini akifanikiwa Sana ananunua Hari ya IST Tena Kwa mikopo wa benki.
B). Namnukuu "wasomi mmesomea Njaa" jaman lolote.
C). Mheshimiwa Dotto ana hoja ya msingi kuhusu kubweteka Kwa Wasomi wetu. Asikilizwe, ana hoja.
NB: Wasomi msikilizeni Kwa makini, msitumie mihemko kumjibu. Bali jibuni hoja kwa hoja. Msimtukane Wala kumbughudhi hapo ndo kipimo cha usiku wenu kitaonekana.
Naomba tafsiri ya Wasomi ili nijue nimo au simo. Nisije nikakomaa kumbe niko upande wa Dotto Magari