Doto Magari ana hoja kuhusu Wasomi, asikilizwe!

Naomba tafsiri ya Wasomi ili nijue nimo au simo. Nisije nikakomaa kumbe niko upande wa Dotto Magari
 
broo na wew unamskilizampumbav mungu mwenyew na din yake anakusisitiza usome ili uelimike asume watu ote kusingekua na wasom ukiumw utatibiw na nan nan angetengenez panado uyo aliobun hela pia ni msom aliumiza kchwa akaja na idea izo sim na compyuta walitngeneza ma brainer ambao wasomi alaf uyo sio muuza magar ni dalal tu hat we ukiw na gar unaliuza unaend kumtuma akuuzie apate ganj hana mtaj wa pesa ana mtaj wa uamnif ndoman anapew magar yakuuza elim ieshimiwe mtu mweny elim ni tafaut sn na mjinga ht kweny utaftaj wangap hawan elim wanashik hela znaend ovyo wangekua na elim wange manage uyo anakwmbia kusom ujinga ajil ana chanel ya kudalalia ila itakuj zama amna mtu atanunua gar ya mkonon zman wauza sim agrey lumumba walkua wanapg hela na cm za kuunga leo nan ananua sim mtaan instead of shop? ipo sik ht magar itafkia mtu ana oder japan anaagiza anatoa kwa gharam nafuu sio uende show room ukapgwe tukifkia uko atakua na adab km madalal wa sim za wiz wqlivkua na adab sas iv
 
Kwahiyo hiyo mipasho ndiyo ipo kwenye speech yake huko SUA!!! Nashauri Mama Wema Sepetu naye aalikwe
 
Hoja imetolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…