Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Msomi anatakiwa:-Usiwalaumu sana hao maana hali yao ya uchumi ni duni ndio maana wako radhi kununuliwa .
Ama.
1. Kujali mambo ya uchumi na kubadilisha hali yake ya uchumi kwa njia zilizo ndani ya maadili ya kisomi. Atachapisha vitabu, atafundisha, atafanya gunduzi na kupata patents, atajua jinsi ya kujikimu kiuchumi bila kuharibu maadiki ya kisomi.
Ama.
2. Kukubali kuwa hawezi kufanya makubwa anavyotaka kiuchumi, lakini atakuwa hana tatizo kuishi ndani ya maadili ya kisomi, hata pale ambapo mambo ya uchumi hayatakuwa mazuri sana.
Hao niliowataja wameshindwa yote mawili.