Doto Magari atembelea mradi wake wa kufuga nguruwe wa million sabini Dodoma. Na kila nguruwe chakula kwa siku laki 3.

Doto Magari atembelea mradi wake wa kufuga nguruwe wa million sabini Dodoma. Na kila nguruwe chakula kwa siku laki 3.

Influencer mhamasishaji maarufu machachari na muuza magari nchini Doto Magari mtoto wa mama Kizimkazi na hapa ipo, katembelea mradi wake wa kufuga nguruwe iliomgharimu million 70 wilaya ya Bahi Dodoma.

Akizungumza na waandishi wa habari waliomiminika kumhoji alidai nguruwe wake ni wa kipekee Tanzania na Africa kwani ni breed ya kipekee na kisasa.

Pia amedai kila nguruwe gharama yake ya chakula kwa siku ni laki Tatu. Na ana nguruwe 1000.

Cha kushangaza Doto Magari mwenyeji wa Dar Mzaramo muislamu anavaa rozari na aanafuga nguruwe. Yete anadai hana matabaka.

Msikize zaidi kwenye video hapo chini.

View: https://youtu.be/-TjTqpdFECk?si=7fkbm0vGCM_9OrcE

Accumen Mo darcity mrangi King Kong III

Ameona fursa.
Ila kuifuga hiyo midudu sijui amewaza nini! Bora awaachie wachaga na wanyakyusa
 
Influencer mhamasishaji maarufu machachari na muuza magari nchini Doto Magari mtoto wa mama Kizimkazi na hapa ipo, katembelea mradi wake wa kufuga nguruwe iliomgharimu million 70 wilaya ya Bahi Dodoma.

Akizungumza na waandishi wa habari waliomiminika kumhoji alidai nguruwe wake ni wa kipekee Tanzania na Africa kwani ni breed ya kipekee na kisasa.

Pia amedai kila nguruwe gharama yake ya chakula kwa siku ni laki Tatu. Na ana nguruwe 1000.

Cha kushangaza Doto Magari mwenyeji wa Dar Mzaramo muislamu anavaa rozari na aanafuga nguruwe. Yete anadai hana matabaka.

Msikize zaidi kwenye video hapo chini.

View: https://youtu.be/-TjTqpdFECk?si=7fkbm0vGCM_9OrcE

Accumen Mo darcity mrangi King Kong III

Namkubali sana Mtoto wa Mama Kizimkazi na hapa ipo ,anapiga maokoto sana!! Bongo lazima ujitoe ufahamu ili pige pesa ,yote anafanya kwa kuzingatia maokoto.
 
Influencer mhamasishaji maarufu machachari na muuza magari nchini Doto Magari mtoto wa mama Kizimkazi na hapa ipo, katembelea mradi wake wa kufuga nguruwe iliomgharimu million 70 wilaya ya Bahi Dodoma.

Akizungumza na waandishi wa habari waliomiminika kumhoji alidai nguruwe wake ni wa kipekee Tanzania na Africa kwani ni breed ya kipekee na kisasa.

Pia amedai kila nguruwe gharama yake ya chakula kwa siku ni laki Tatu. Na ana nguruwe 1000.

Cha kushangaza Doto Magari mwenyeji wa Dar Mzaramo muislamu anavaa rozari na aanafuga nguruwe. Yete anadai hana matabaka.

Msikize zaidi kwenye video hapo chini.

View: https://youtu.be/-TjTqpdFECk?si=7fkbm0vGCM_9OrcE

Accumen Mo darcity mrangi King Kong III

Ukishamuona huyo jamaa anayeitwa Mkondya changanya na za kwako.

halafu kombination hiyo ni nzuri sana Mkondya na doto magari wote wajuzi wa kuongea
Huyo mkondya ni yule jamaa wa Valina.kuna watu waliingia kule kwenye vanila wakaangukia pua
 
Influencer mhamasishaji maarufu machachari na muuza magari nchini Doto Magari mtoto wa mama Kizimkazi na hapa ipo, katembelea mradi wake wa kufuga nguruwe iliomgharimu million 70 wilaya ya Bahi Dodoma.

Akizungumza na waandishi wa habari waliomiminika kumhoji alidai nguruwe wake ni wa kipekee Tanzania na Africa kwani ni breed ya kipekee na kisasa.

Pia amedai kila nguruwe gharama yake ya chakula kwa siku ni laki Tatu. Na ana nguruwe 1000.

Cha kushangaza Doto Magari mwenyeji wa Dar Mzaramo muislamu anavaa rozari na aanafuga nguruwe. Yete anadai hana matabaka.

Msikize zaidi kwenye video hapo chini.

View: https://youtu.be/-TjTqpdFECk?si=7fkbm0vGCM_9OrcE

Accumen Mo darcity mrangi King Kong III

na mwezi umeshaisha hivi atapata wateja wengi. inasemekana jana mabaa yalijaaa ajabu, na maguest house nchi nzima yalijaa. watu walitoka kwenye kifungo. hadi majini yamemaliza mfungo ukijichanganya unaweza kukutana nayo. manake nayo yanamwabudu allah.
 
Mradi una gharama ya milion 70 ,una nguruwe 1000. Kila nguruwe anatumia 300,000 Kwa ajili ya chakula Kila siku maana yake Kila siku anatumia milion 300. Kuna ukweli juu ya hili?
 
Hakuna Nguruwe anakula chakula cha shilingi laki 3 Kwa Siku

Mwambie awe mkweli

Kitendo cha kutaja gharama kubwa kwenye Mradi wake itawafanya ma-hustler wengine kuogopa kuwekeza wakati tunafahamu gharama za chakula Kwa Nguruwe mmoja hutumia less than 10k

By the way hongera kwake kuweza kuwekeza

To the gentlemen out there, try to invest for every single cent you get

The rewards will be higher when the energy is no longer with your body 🙌
Ikizidi Sana anatakiwa ale 1500 Kwa siku. Zaidi ya hapo ni hasara otherwise uwe mfugaji na muuzaji wa nyama wa mwisho uwe wewe mwenyewe. Lakini ukumkuza Kwa 2000 Kwa siku alafu ukamuuza Kwa mtu kati hapo inakuwa ulikuwa umeweka kibubu tu
 
Ikizidi Sana anatakiwa ale 1500 Kwa siku. Zaidi ya hapo ni hasara otherwise uwe mfugaji na muuzaji wa nyama wa mwisho uwe wewe mwenyewe. Lakini ukumkuza Kwa 2000 Kwa siku alafu ukamuuza Kwa mtu kati hapo inakuwa ulikuwa umeweka kibubu tu
Kweli Mkuu

Naona atakuwa amepewa kazi ya kutangaza huo Mradi Kwa kulipwa ujira.

Huwezi kuwa mfugaji eti useme Nguruwe wake wanakula chakula cha shilingi 300k Kwa Siku utasema huyo Nguruwe akija kuuzwa, atauzwa milioni 100

Maana Kwa cost analysis, huyo Nguruwe hadi aje akue na auzwe atakuwa amekuzwa zaidi ya Siku 200, piga shilingi 300,000 x 200= 60,000,000

Nadhani aendelee kuwadanganya watu wake wa Instagram na TikTok lakini sio hapa JF
 
Kweli Mkuu

Naona atakuwa amepewa kazi ya kutangaza huo Mradi Kwa kulipwa ujira.

Huwezi kuwa mfugaji eti useme Nguruwe wake wanakula chakula cha shilingi 300k Kwa Siku utasema huyo Nguruwe akija kuuzwa, atauzwa milioni 100

Maana Kwa cost analysis, huyo Nguruwe hadi aje akue na auzwe atakuwa amekuzwa zaidi ya Siku 200, piga shilingi 300,000 x 200= 60,000,000

Nadhani aendelee kuwadanganya watu wake wa Instagram na TikTok lakini sio hapa JF
Sometime Hawa wadau Huwa wanaropoka hivyo makusudi ili kuleta attention. Hali hiyo hufanya habari kusomwa zaidi so hapo ujumbe utawafikia wengi
 
Kweli Mkuu

Naona atakuwa amepewa kazi ya kutangaza huo Mradi Kwa kulipwa ujira.

Huwezi kuwa mfugaji eti useme Nguruwe wake wanakula chakula cha shilingi 300k Kwa Siku utasema huyo Nguruwe akija kuuzwa, atauzwa milioni 100

Maana Kwa cost analysis, huyo Nguruwe hadi aje akue na auzwe atakuwa amekuzwa zaidi ya Siku 200, piga shilingi 300,000 x 200= 60,000,000

Nadhani aendelee kuwadanganya watu wake wa Instagram na TikTok lakini sio hapa JF
Dah, huyu jamaa ni empty kabisa, sasa kama gharama kwa miezi sita ndio hiyo zaidi ya milioni 60, atamuuza kwa milioni 80. Yaani pesa ya kununulia coaster/TATA unaweka barabarani ndiyo ukanunulie nguruwe mnyama.
 
Back
Top Bottom