Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Nje ya mada.... Hivi zile stori za kwamba umeme utapungua bei baada ya bwawa kuanza kazi zilikua za vijiwe vya kahawa tu eee?....
 
Hivi hawa mainjinia hawakusoma? Nakumbuka Geography form III au IV kulikuwa na Topic ya Tennessee Valley Authority...Kuna mambo mengi sana ya kujifunza pale kwanini wasitumie maarifa ya kama TVA? Hivi kweli wanashindwa kucontrol maji yanayoingia kwenye bwawa? Really? Like Seriously? Hivi walifanya Upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kweli? Hivi wanajua reservoir kazi yake kwenye kujenga Dam? Walisoma kuhusu Irrigation? Yaani wataalam wanafikia hadi kuzima mtambo kwasababu za kipuuzi sana.

Inasikitisha sana
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Mkuu Matege unazungumziaje hilo lakufungulia maji na kuleta kadhia kwa wanavijiji ?
 
Kama wanasema maji ni mengi basi kuwe na plan ya kuyatumia maji yaliyozidi kama chanzo cha maji safi ili kuyasambaza mikoa ya karibu ya Pwani, Dar na Moro.
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Ahaaaa jamani tukae tukijua vyama vya upinzani sio uadui isipo kuwa wao ni wapinzani isitegemee kusifiwa na chama pinzani. Mfano tunachumbia binti mmoja mie ntakuja kukusudia vip????
 
Hii serikali yetu kama watoto wa nursery yaani kila kitu ni majaribio tu..
Sasa maji yakiwa hakuna umeme shida maji yakiwa mengi umeme shida
Hii ni nchi au ni henge la wahuni..
Ni nchi ila Serikali ndiyo genge lililojaa Wahuni.
 
Ahaaaa jamani tukae tukijua vyama vya upinzani sio uadui isipo kuwa wao ni wapinzani isitegemee kusifiwa na chama pinzani. Mfano tunachumbia binti mmoja mie ntakuja kukusudia vip????

Ndiyo wapinge hata vitu vya maana?
 
Kuna kitu hakipo sawa hapa.
-Kulikuwa hakuna plan baada ya miezi kadhaa kiwango cha maji kiwe kimefikia level flani?
-Na kama iko kiwango kilikuwa kimefikiwa badaa ya siku kadhaa au wiki badala ya miezi hawakuona kwamba ile estimation mwanzo ilikuwa sio sawa?
-Na kwanini hakufanyika assessement nyingine ili kurekebisha makosa?
-Na hakuna mtu au watu wanao assess level ya maji kila siku?
-Kwa nini maji hayakufunguliwa au kuwa divert kulipooneka kiwango cha maji ni kikubwa?
-Hivi kwenye project kubwa kama hizi kunakuwa hakuna tea meetings kila siku watu wana update sehemu zao na kama kuna tatizo linatafutiwa ufumbuzi? Hii inasadia sana kuepuka makosa na gharama zisizo na ulazima.
 
Kuna kitu hakipo sawa hapa.
-Kulikuwa hakuna plan baada ya miezi kadhaa kiwango cha maji kiwe kimefikia level flani?
-Na kama iko kiwango kilikuwa kimefikiwa badaa ya siku kadhaa au wiki badala ya miezi hawakuona kwamba ile estimation mwanzo ilikuwa sio sawa?
-Na kwanini hakufanyika assessement nyingine ili kurekebisha makosa?
-Na hakuna mtu au watu wanao assess level ya maji kila siku?
-Kwa nini maji hayakufunguliwa au kuwa divert kulipooneka kiwango cha maji ni kikubwa?
-Hivi kwenye project kubwa kama hizi kunakuwa hakuna tea meetings kila siku watu wana update sehemu zao na kama kuna tatizo linatafutiwa ufumbuzi? Hii inasadia sana kuepuka makosa na gharama zisizo na ulazima.

Ushauri mzuri
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Sasa walitaka bwawa lisijae haraka ili waendelee na mgao wa umeme. Nilitarajie liwe jambo jema na heri sasa imekuwa shida tena.
Mtera wamefungulia yanaenda tu.
 
Translation: Kiangazi kukiwa hakuna mvua basi mashine hazitafanya kazi..., Masika kwenye mvua maji yakijaa sana basi mashine zitazimwa..., In short ni bora hizo mashine zisiwepo kabisa sababu either way zinazimwa,,,,
 
Kuna kitu hakipo sawa hapa.
-Kulikuwa hakuna plan baada ya miezi kadhaa kiwango cha maji kiwe kimefikia level flani?
-Na kama iko kiwango kilikuwa kimefikiwa badaa ya siku kadhaa au wiki badala ya miezi hawakuona kwamba ile estimation mwanzo ilikuwa sio sawa?
-Na kwanini hakufanyika assessement nyingine ili kurekebisha makosa?
-Na hakuna mtu au watu wanao assess level ya maji kila siku?
-Kwa nini maji hayakufunguliwa au kuwa divert kulipooneka kiwango cha maji ni kikubwa?
-Hivi kwenye project kubwa kama hizi kunakuwa hakuna tea meetings kila siku watu wana update sehemu zao na kama kuna tatizo linatafutiwa ufumbuzi? Hii inasadia sana kuepuka makosa na gharama zisizo na ulazima.
Kwenye Dams zote kubwa, maji yanayozidi kiwango huwa hayafunguliwi bali katika ujenzi wake, kuna sehemu hujengwa kutapishia maji yanayozidi kiwango ili ku retain maxmum level.
Maneno yote haya ni ngonjera zenye nia ovu zilizokusudia lengo fulani.
 
Legacy gani? Mbona wale wa Ethiopia hawasifii lele Bwawa lao kwamba n Legacy ya Waziri mkuu wao? Tupunguze ujinga, Taifa linajaaa ujinga mtupu,
UJINGA KAMA WEWE UNA AMKA ASUBUIO KABLA KUNYWA CHAI UNASEMA "NAMSHUKURU MHE.RAIS SAMIA KWA KWA KWA KWA KWA "
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Uliwaamini vichaa wasio na takwimu. Chadema wenyewe hutoa hoja zenye vigezo
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Dotto amekuwa afisa habari TANESCO!.
 
Back
Top Bottom