Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
Kwenye Dams zote kubwa, maji yanayozidi kiwango huwa hayafunguliwi bali katika ujenzi wake, kuna sehemu hujengwa kutapishia maji yanayozidi kiwango ili ku retain maxmum level.
Mameno yote haya ni ngonjera zenye nia ovu zilizokusudia lengo fulani.
Uko sahihi