Pre GE2025 Dotto Biteko: Watanzania tufanye kazi, siasa haitaleta mkate mezani

Pre GE2025 Dotto Biteko: Watanzania tufanye kazi, siasa haitaleta mkate mezani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amewataka Watanzania kuepuka vitendo vya kuwagawa, na badala yake waungane kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Biteko ametoa wito huo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Kibondo, mkoani Kigoma, akisisitiza kuwa siasa pekee haziwezi kutatua changamoto za maisha ya kila siku, bali kazi ndio msingi wa mafanikio.

Soma pia: Dkt. Biteko: Tuvumiliane na kuheshimiana kama watanzania

"Siasa haitoleta mkate mezani isipokuwa kufanya kazi, hata tukija Wanasiasa hapa tukawaambia kunja na ngumi, baada ya kukunja ngumi hautokuja mkate mezani, lazima Watu wafanye kazi, tunaweza kutumia siasa kwa watu na maisha yao tukazungumza chuki zetu dhidi ya watu, kutugawanya, kugawanya nchi hii.


Biteko aliongeza kwa kusema:

"Tunazo nchi ambazo watu walianza kidogokidogo kugawanyika, baadaye wakaishia kwenye kupigana, tutanye siasa za kutuleta pamoja"




Source: Jambo TV
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amewataka Watanzania kuepuka vitendo vya kuwagawa, na badala yake waungane kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Biteko ametoa wito huo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Kibondo, mkoani Kigoma, akisisitiza kuwa siasa pekee haziwezi kutatua changamoto za maisha ya kila siku, bali kazi ndio msingi wa mafanikio.

Soma pia: Dkt. Biteko: Tuvumiliane na kuheshimiana kama watanzania

"Siasa haitoleta mkate mezani isipokuwa kufanya kazi, hata tukija Wanasiasa hapa tukawaambia kunja na ngumi, baada ya kukunja ngumi hautokuja mkate mezani, lazima Watu wafanye kazi, tunaweza kutumia siasa kwa watu na maisha yao tukazungumza chuki zetu dhidi ya watu, kutugawanya, kugawanya nchi hii.​


Biteko aliongeza kwa kusema:

"Tunazo nchi ambazo watu walianza kidogokidogo kugawanyika, baadaye wakaishia kwenye kupigana, tutanye siasa za kutuleta pamoja"​


Source: Jambo TV
Kwahiyo yeye anatangaza lini kuacha siasa? Au anatuzuga tu.
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amewataka Watanzania kuepuka vitendo vya kuwagawa, na badala yake waungane kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Biteko ametoa wito huo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Kibondo, mkoani Kigoma, akisisitiza kuwa siasa pekee haziwezi kutatua changamoto za maisha ya kila siku, bali kazi ndio msingi wa mafanikio.

Soma pia: Dkt. Biteko: Tuvumiliane na kuheshimiana kama watanzania

"Siasa haitoleta mkate mezani isipokuwa kufanya kazi, hata tukija Wanasiasa hapa tukawaambia kunja na ngumi, baada ya kukunja ngumi hautokuja mkate mezani, lazima Watu wafanye kazi, tunaweza kutumia siasa kwa watu na maisha yao tukazungumza chuki zetu dhidi ya watu, kutugawanya, kugawanya nchi hii.​


Biteko aliongeza kwa kusema:

"Tunazo nchi ambazo watu walianza kidogokidogo kugawanyika, baadaye wakaishia kwenye kupigana, tutanye siasa za kutuleta pamoja"​


Source: Jambo TV
Siasa ni nini?
Hivi huyo ana uelewa hata wa hayo anayoyaongea? Yeye siasa si ndiyo imempatia maisha na hadhi?
Ana maanisha anajuta kuacha ualimu na kuingia keenye siasa? Kwanini asijiyoe arudi kufundisha? Au hata aende akaendeshe hotels zake alizozijenga Kigali huku hapa nchini akijinadi kuwa ni mnyonge na masikini!?
Anataka tuendelee kumfunua
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amewataka Watanzania kuepuka vitendo vya kuwagawa, na badala yake waungane kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Biteko ametoa wito huo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Kibondo, mkoani Kigoma, akisisitiza kuwa siasa pekee haziwezi kutatua changamoto za maisha ya kila siku, bali kazi ndio msingi wa mafanikio.

Soma pia: Dkt. Biteko: Tuvumiliane na kuheshimiana kama watanzania

"Siasa haitoleta mkate mezani isipokuwa kufanya kazi, hata tukija Wanasiasa hapa tukawaambia kunja na ngumi, baada ya kukunja ngumi hautokuja mkate mezani, lazima Watu wafanye kazi, tunaweza kutumia siasa kwa watu na maisha yao tukazungumza chuki zetu dhidi ya watu, kutugawanya, kugawanya nchi hii.​


Biteko aliongeza kwa kusema:

"Tunazo nchi ambazo watu walianza kidogokidogo kugawanyika, baadaye wakaishia kwenye kupigana, tutanye siasa za kutuleta pamoja"​


Source: Jambo TV
Biteko naye akili kiduchu, yeye anakula kwa siasa, siasa inaleta chakula mezani kwake, why not to others?
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amewataka Watanzania kuepuka vitendo vya kuwagawa, na badala yake waungane kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Biteko ametoa wito huo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Kibondo, mkoani Kigoma, akisisitiza kuwa siasa pekee haziwezi kutatua changamoto za maisha ya kila siku, bali kazi ndio msingi wa mafanikio.

Soma pia: Dkt. Biteko: Tuvumiliane na kuheshimiana kama watanzania

"Siasa haitoleta mkate mezani isipokuwa kufanya kazi, hata tukija Wanasiasa hapa tukawaambia kunja na ngumi, baada ya kukunja ngumi hautokuja mkate mezani, lazima Watu wafanye kazi, tunaweza kutumia siasa kwa watu na maisha yao tukazungumza chuki zetu dhidi ya watu, kutugawanya, kugawanya nchi hii.​


Biteko aliongeza kwa kusema:

"Tunazo nchi ambazo watu walianza kidogokidogo kugawanyika, baadaye wakaishia kwenye kupigana, tutanye siasa za kutuleta pamoja"​


Source:

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amewataka Watanzania kuepuka vitendo vya kuwagawa, na badala yake waungane kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Biteko ametoa wito huo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Kibondo, mkoani Kigoma, akisisitiza kuwa siasa pekee haziwezi kutatua changamoto za maisha ya kila siku, bali kazi ndio msingi wa mafanikio.

Soma pia: Dkt. Biteko: Tuvumiliane na kuheshimiana kama watanzania

"Siasa haitoleta mkate mezani isipokuwa kufanya kazi, hata tukija Wanasiasa hapa tukawaambia kunja na ngumi, baada ya kukunja ngumi hautokuja mkate mezani, lazima Watu wafanye kazi, tunaweza kutumia siasa kwa watu na maisha yao tukazungumza chuki zetu dhidi ya watu, kutugawanya, kugawanya nchi hii.​


Biteko aliongeza kwa kusema:

"Tunazo nchi ambazo watu walianza kidogokidogo kugawanyika, baadaye wakaishia kwenye kupigana, tutanye siasa za kutuleta pamoja"​


Source: Jambo TV
Naona anamkemea Boss wake maana ndiyo analeta chuki na kugawa nchi. CCM huwaga siwaelewi kabisa
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amewataka Watanzania kuepuka vitendo vya kuwagawa, na badala yake waungane kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Biteko ametoa wito huo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Kibondo, mkoani Kigoma, akisisitiza kuwa siasa pekee haziwezi kutatua changamoto za maisha ya kila siku, bali kazi ndio msingi wa mafanikio.

Soma pia: Dkt. Biteko: Tuvumiliane na kuheshimiana kama watanzania

"Siasa haitoleta mkate mezani isipokuwa kufanya kazi, hata tukija Wanasiasa hapa tukawaambia kunja na ngumi, baada ya kukunja ngumi hautokuja mkate mezani, lazima Watu wafanye kazi, tunaweza kutumia siasa kwa watu na maisha yao tukazungumza chuki zetu dhidi ya watu, kutugawanya, kugawanya nchi hii.​


Biteko aliongeza kwa kusema:

"Tunazo nchi ambazo watu walianza kidogokidogo kugawanyika, baadaye wakaishia kwenye kupigana, tutanye siasa za kutuleta pamoja"​


Source: Jambo TV
Yeye ni nani mwenzetu ni doctor au?
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amewataka Watanzania kuepuka vitendo vya kuwagawa, na badala yake waungane kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Biteko ametoa wito huo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Kibondo, mkoani Kigoma, akisisitiza kuwa siasa pekee haziwezi kutatua changamoto za maisha ya kila siku, bali kazi ndio msingi wa mafanikio.

Soma pia: Dkt. Biteko: Tuvumiliane na kuheshimiana kama watanzania

"Siasa haitoleta mkate mezani isipokuwa kufanya kazi, hata tukija Wanasiasa hapa tukawaambia kunja na ngumi, baada ya kukunja ngumi hautokuja mkate mezani, lazima Watu wafanye kazi, tunaweza kutumia siasa kwa watu na maisha yao tukazungumza chuki zetu dhidi ya watu, kutugawanya, kugawanya nchi hii.​


Biteko aliongeza kwa kusema:

"Tunazo nchi ambazo watu walianza kidogokidogo kugawanyika, baadaye wakaishia kwenye kupigana, tutanye siasa za kutuleta pamoja"​


Source: Jambo TV
bila siasa angekwepo hapo,shibe mbaya sana
 
Back
Top Bottom