Dotto Bulendu amchambua Paul Makonda

Dotto Bulendu amchambua Paul Makonda

Kama hawajui
So hawajui watu 13 wenye Corona nchini ila anamjua tu mtoto wa Mbowe!Huko mbele akiwajua wengine kwahiyo atangaze?Ni nani kampa mamlaka hayo?Kwa hiyo waziri mkuu ni wa kupuuzwa maana alisema wenye mamlaka kutangaza kuhusu wagonjwa wa Corona ni PM,waziri wa afya na Rais?Je,apuuzwe pia Ummy Mwalimu aliyesema ni marufuku kutangaza wagonjwa wa Corona labda kwa idhini yao?How far are you willing to go to defend that fool Makonda??
 
So hawajui watu 13 wenye Corona nchini ila anamjua tu mtoto wa Mbowe!Huko mbele akiwajua wengine kwahiyo atangaze?Ni nani kampa mamlaka hayo?Kwa hiyo waziri mkuu ni wa kupuuzwa maana alisema wenye mamlaka kutangaza kuhusu wagonjwa wa Corona ni PM,waziri wa afya na Rais?Je,apuuzwe pia Ummy Mwalimu aliyesema ni marufuku kutangaza wagonjwa wa Corona labda kwa idhini yao?How far are you willing to go to defend that fool Makonda??
Let him stay with his foolishness
 
Kuna kipindi huwa najiiliza maswali mengi sana Na miongoni ya maswali hayo.

1.Hivi Watu wanapokuwa Kwenye nyumba za kuabudu (Makanisani Na misikitini) huwa wanakwenda Kwa ajili ya kujionesha ama wanamaanisha?

Kwa nini najiuliza

Leo asubuhi nimeamka na kukutana na Vidio ya Kiongozi tena wa Serikali ambaye mara kwa mara huwa namuona anakaribishwa mpaka kwenye madhabahu ya kanisa na kupewa nafasi ya kuhubiri ,leo anaamka na kuandaa mkusanyiko halafu anaanza kumkebehi Mzazi wa mtu kuwa anashukuru sana huyo mtu mwanae kupatwa Ugonjwa wa Corona.Hivi kweli dini zinatufundisha kuombeana watu mabaya?kufurahi wengine wanapopata shida na kuteseka ?

2.Swali la pili,huwa najiuliza hivi Shuleni na Vyuoni yanayofundishwa ndiyo yanayofanyika huku nje?maana nakumbuka nilipokuwa Chuo Kikuu,nilisoma kidogo Kwa muhula mmoja somo ya Uongozi.

Nilifundishwa kuwa unapochaguliwa kuwa Kiongozi basi fahamu miongoni mwa Kazi zako ni Kuwa Mfariji Mkuu.

Sasa leo nimeamka asubuhi na kukutana na vidio ya Kiongozi mkuu wa ngazi ya Mkoa,anatangaza kwa kukebehi huku akifurahia moja ya wananchi ndani ya Mkoa wake kukutwa Na maambukizi ya Virusi vya Corona,kisa Baba wa huyo mtoto wanatofautiana Vyama vya Siasa.

Najiuliza Prof aliyenifundisha kuwa unapokuwa Kiongozi wewe ni mfariji mkuu,alikuwa ananiongopea?mbona baadhi ya Viongozi(Kama alivyofanya mkuu wa mkoa) ameshindwa kusimama Kwenye nafasi ya Mfariji mkuu na badala yake kaamua kuianza siku Kwa kwenda Kwenye mikusanyiko na kumtangaza mwanafamilia wa ndani ya Mkoa kuwa anaugonjwa wa Corona huku alienda mbali zaidi Kwa kusema anamshukuru Mungu familia hiyo kupatwa na janga la Corona?

Mungu Ibariki Tanzania

In God we Trust
Nguvu ya wafalme wa dunia "wa hapa" ni kubwa kiasi kwamba wafalme wa ulimwengu wa Roho "wa hapa" wameshindwa kuulinda na kuutetea ufalme huo(wa Roho).Ndiyo maana haishangazi kuona watenda maovu ya wazi wazi ndiyo hao hao wanaopewa nafasi kwenye madhabahu.Nafasi yao(wafalme wa ulimwengu wa Roho) ya kukemea,kushauri,kupatanisha na kuongoza imezidiwa nguvu.Nafasi ya wafalme wa ulimwengu wa Roho "ya hapa" IMETIKISHWA.
 
Kuna kipindi huwa najiiliza maswali mengi sana Na miongoni ya maswali hayo.

1.Hivi Watu wanapokuwa Kwenye nyumba za kuabudu (Makanisani Na misikitini) huwa wanakwenda Kwa ajili ya kujionesha ama wanamaanisha?

Kwa nini najiuliza

Leo asubuhi nimeamka na kukutana na Vidio ya Kiongozi tena wa Serikali ambaye mara kwa mara huwa namuona anakaribishwa mpaka kwenye madhabahu ya kanisa na kupewa nafasi ya kuhubiri ,leo anaamka na kuandaa mkusanyiko halafu anaanza kumkebehi Mzazi wa mtu kuwa anashukuru sana huyo mtu mwanae kupatwa Ugonjwa wa Corona.Hivi kweli dini zinatufundisha kuombeana watu mabaya?kufurahi wengine wanapopata shida na kuteseka ?

2.Swali la pili,huwa najiuliza hivi Shuleni na Vyuoni yanayofundishwa ndiyo yanayofanyika huku nje?maana nakumbuka nilipokuwa Chuo Kikuu,nilisoma kidogo Kwa muhula mmoja somo ya Uongozi.

Nilifundishwa kuwa unapochaguliwa kuwa Kiongozi basi fahamu miongoni mwa Kazi zako ni Kuwa Mfariji Mkuu.

Sasa leo nimeamka asubuhi na kukutana na vidio ya Kiongozi mkuu wa ngazi ya Mkoa,anatangaza kwa kukebehi huku akifurahia moja ya wananchi ndani ya Mkoa wake kukutwa Na maambukizi ya Virusi vya Corona,kisa Baba wa huyo mtoto wanatofautiana Vyama vya Siasa.

Najiuliza Prof aliyenifundisha kuwa unapokuwa Kiongozi wewe ni mfariji mkuu,alikuwa ananiongopea?mbona baadhi ya Viongozi(Kama alivyofanya mkuu wa mkoa) ameshindwa kusimama Kwenye nafasi ya Mfariji mkuu na badala yake kaamua kuianza siku Kwa kwenda Kwenye mikusanyiko na kumtangaza mwanafamilia wa ndani ya Mkoa kuwa anaugonjwa wa Corona huku alienda mbali zaidi Kwa kusema anamshukuru Mungu familia hiyo kupatwa na janga la Corona?

Mungu Ibariki Tanzania

In God we Trust
Shida inaanzia pale mpumbavu anapo pewa cheo. Atataka dunia nzima ijue upembavu wake
 
Back
Top Bottom