Dotto Bulendu: Soka limekabidhiwa wanasiasa na wasanii ndio tutarajie ushindi dhidi ya Uganda? Wanasoka wetu wastaafu hawapo? Hawathaminiwi?

Yes Siasa imeiingia kwenye mpira ila ki ukwel kabisa Tenga, Mahadhi, Mohemed Husein, Lunyamala wanaweza kwel kuhamashisha watu wakajaa uwanjan kwa hulka zetu sie tulivyo?
 
Mkuu Bulendu sijui kwanini hadi sasa bado upo hapo star tv maana kwa uweledi ulio nao naona kama unachelewa huko

In God we trust
 
Dotto Bulendu, Utaitwa mchochezi na usiye mzalendo kwa nchi yako.
Afadhali aseme ukweli kuliko kuendelea kuwa kondoo wakati tunaumia kwa maamuzi ya watu wachache

In God we trust
 
Akili zetu ni za kuiba vitu kama kura etc basi, maendeleo ni shida kwa akili zetu. Umeona wapi kitu aina hiyo? wanasiasa kwenye soka? badala ya kuwa na ubunifu wanatumia kejeli kwa UGANDA, acha tuone
Karia kaliharibu soka letu na kapoteza upenzi wa watanzania walio wengi

In God we trust
 
Nilipoona wenyekiti wa hiyo kamati nikaona isiwe shida... Yani tuna tatizo kubwa kama taifa!
Hata ivyo kila la kheri stars, TFF inapoongozwa na makada tusahau kabisa mpira wetu kusonga mbele
Watashangilia wao hilo lipo wazi kabisa

In God we trust
 
Watu wasiokuwa na maadili katika jamii ndio wanakadhiwa jukumu la kuhamasisha. Wafoji vyeti, wa picha za ngono, waongo, wala rambi rambi ndio wanapewa uhamasishaji. Watu wenye akili wameshawadharau pamoja na mbwe mbwe zao zote!
Ni jambo la aibu sana

In God we trust
 
M
 
Daudi Albert Bashite yeye anamjua Amber Rutty tu na ndiye kamtumia kuhamasisha ushindi wa Taifa Stars. Kwa kweli mimi nitashabikia The Cranes kwa sababu Bashite kashainajisi Stars na hao akina Amber Rutty.
 
Yes Siasa imeiingia kwenye mpira ila ki ukwel kabisa Tenga, Mahadhi, Mohemed Husein, Lunyamala wanaweza kwel kuhamashisha watu wakajaa uwanjan kwa hulka zetu sie tulivyo?
Sasa Wewe unamlinganisha le mutuz na Tenga kweli?!!

Yaani katika soka umsimamishe Steve Nyerere na Leodgar Tenga halafu watu wamsikilize huyo Melenge wa mama Wema.........acha maskhala mkuu Bonny!
 
Dotto kuna mambo mengine wakati mwingine yanatia kinyaa hata kuyasikia,hawa waingizaji wanaojiachia na mapicha ya utupu ndiyo wanapewa kipaumbele cha kuhamasisha watanzania kuelekea mechi yetu na Uganda?,kweli?.

Jana huyo Shisha sijui shishi ilibidi nicheke mwenyewe yaani ni kama kumchukua mtu ukamfunika usoni na kumpeleka mahali ukamwachia asijue yuko wapi,ndo nilikioni jana mtu hajui hata alichoitiwa,anaishia kuuliza ni nini tena?,wenzake wanamwambia AFCON oooooo,yes ni afcon kweli.

Kweli yajayo yafurahisha,#Tukutane Taifa Jumapili
 
Sasa Wewe unamlinganisha le mutuz na Tenga kweli?!!

Yaani katika soka umsimamishe Steve Nyerere na Leodgar Tenga halafu watu wamsikilize huyo Melenge wa mama Wema.........acha maskhala mkuu Bonny!
Hujanielewa Mkuu sjawalinganisha kutokana na thaman au mchango wao ila nmelinganisha kutoana na umaarufu wao leo hii rud mtaan kwako sema nan anamfahamu Steve Nyerere na nan anamfahamu Tenga utaona tofauti yake.
Point yangu ni kwamba asilimia kubwa ya watanzania kwa sasa hvi tutafata atakachosema Steve nyerere zaid kuliko atakachosema Tenga.
 
Hamasa huletwa na wasanii sio wachezaji kila mtu ana umuhimu wake
Dotto kaweka facts za kinacho fanyikaga Ulaya kwa kutumia wachezaji wastaafu na walio fanya vizuri, sasa na wewe weka mifano ya hao wana muziki sehemu zingine za dunia.
 
Hii game Ngoja niweke akiba ya maneno kwanza!
Maana unaweza ukaongea sana halafu hao wanasiasa wakaibuka washindi
Hata kama wakiibuka washindi lakini itakuwa SIYO kwa sababu ya hawa wababaishaji waliojiweka viti vya mbele. Soka la Tanzania litaendelea kuwa chini mpaka siku tutakapokubali kushangilia ushindi wa kubahatisha hapa na pale. Hata saa mbovu inasema kweli wakati mwingine ati... lakini siyo kama ni nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…