Dotto Bulendu: Soka limekabidhiwa wanasiasa na wasanii ndio tutarajie ushindi dhidi ya Uganda? Wanasoka wetu wastaafu hawapo? Hawathaminiwi?

Kuwaweka wachezaji wa zamani kama ni morale kwa timu ya taifa ni sawa kumchukuwa.Lipumba kumpeleka chuo kikuu kama ni mfano kwa undergraduates. It's disheartening.

Kwa miaka hiyo wachezaji walikuwa wanacheza soka kwa moyo wa mapenzi huku wengi wao walikuwa hawalipwi mshahara, bali ni hela ya sabuni tu ya kufulia nguo za mazoezi. Kibaya ni kuwa serikali nayo ikawwacha mkono badala ya kuwatumia kukuza vipaji. Kwa mfano, serikali ingeweza kushirikiana na wizara za elimu na michezo na kuwapangia hawa veterans kipindi japo mwezi x 1 kwa shule zote ili watambue talents na inapobidi kuwaweka hawa vijana karibu na facilities kwa ajili ya kuwa advance.

Sasa unapomchukuwa mtu ghafla kutoka huko.aliko baada ya decades of negligence, kachoka na yuko dhaifu financially, halafu awe ni role model italeta picha gani? Hakuna anayetaka kuwa financially unstable
 
Tatizo Africa kila anaepewa wadhifa hajui atafanya kazi gani mradi anajua cheo chake tu
Kweli kabisa huwa naona matukio yeyote yanapotokea huwa wanatafutwa wastaafu waliopitia hizo kazi na sio kila mtu
Kama mauwaji yalitokea anatafutwa mkuu wa police mstaafu na anajibu na kupangua hoja kwa sababu amebobea katika sekta hiyo ya crime

Lakini kwetu kila mmoja anaingilia yasiyomhusu na akibwana sana utasikia mimi sio msemaji

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
hata kama morali ya kuishabikia taifa stars ilikuwepo ila kwa huyo mwenyekiti na jopo lake mimi na jamaa angu tumeanza kureview mtatazamo kama tulikuwa sahihi, hakuna ambaye hakuwa anaombea na angependa timu yetu ifungwe na kutolewa ila inafikia mahala tunaona ni kheri iwe hivyo ili tujipange upya
 
Well said!!kunywa Pepsi mkubwa wao popote ulipo nitakuja kulipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulaya sio tanzania.
 
Hiyo kamati ya kina wemasepetu alafu tutegemee ushindi!!!!!!
 
Pengo la Ruge RIP ndio linaonekana sasa nmeamin kweli yule bwana alikua master mind wa taifa angekuepo na angeona fursa sidhan kama huu upimbi tunaoushuhudia tungeuona
 
Isitoshe game la mpira mi border less kwa kweli politically and geographically

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CAF wanauafuatilia huu mchezo kwa makini sana kama Uganda atalegeza ili jilani yake afuzu,anaweza kukutana na lungu la caf hata kutolewa kwenye mashindano ,vile vile bado Lesotho ana nafasi kubwa kufuzu kuliko stars,kwa hiyo sisi tuendelee kufanya siasa na usanii uchwara haya ndo tunaweza,huyu msomali anatuhalibia sana mpira wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…