Dotto Bulendu: Tathmini yangu juu ya mahojiano kati ya BBC na Rais Samia Suluhu

Dotto Bulendu: Tathmini yangu juu ya mahojiano kati ya BBC na Rais Samia Suluhu

Rais amezungumzia maandamano katika nchi zetu mara nyingi ni yale ya kufanya ghasia hajasema kuna chama kimechoma magari. Ndiyo maana katoa case ya America maandamano yao yalivyo na sisi. Nadhani ugumu ni kuelewa concept ..

..kwa hapa Tanzania wanaosababisha ghasia huwa ni Polisi.

..kwa hiyo alichotakiwa kufanya Raisi ni kuwadhibiti Polisi.

..Raisi anakosea kuwadhibiti waandamanaji ambao mara nyingi huzingatia amani.
 
Hii kumhoji Rais tena Ikulu siyo Kazi Rais ina taratibu nyingi.
 
Itabidi tufanye utafiti. Kwa sasa siamini. Polisi wa Tanzania wana utu sana. Ukiona Polisi wa Tanzania anatumia nguvu ujue kuna aina ya uhalifu au dharau kaonyeshwa.
 
Dotto nimemuelewa vizuri, hizo 5W + H na follow up questions.

Huyu anatakiwa kuwa mwalimu wa hawa waandishi wetu wa siku hizi, afungue chuo chake akisajili, awapige msasa vijana kadhaa wawe walimu.
Anafundisha SAUT
 
Uchambuzi mzuri sana. Kwa ujumla BBC ilipwaya, sijui ni kwa kupanga au kwa bahati mbaya.
Ni kwa sababu Salim Kikeke ni mtangazaji, na zaidi mambo yanakuwa yamefanyiwa editing tayari ili kulinda muhimili.
 
Ukiwa na sauti nzuri unaweza kuwa mtangazaji kama ilivyokuwa kwa Kikeke, Irene na wengine pale ITV.

Mwandishi wa habari ni lazima aingie darasani!
Yes upo sahihi, lkn kwa ufupi lazima reporter pia awe na basic of Journalism, na azingatie code and ethics za Journalism, Sauti tu haitoshi, ipo miiko ya Uandishi ambayo inahitaji kuzingatiwa kwa weledi iwe ni newsroom au studio.
 
Mtaweza kuprove mahakamani kuwa Mbowe ni gaidi? Shame on you
Mwanzo walisahau kuweka bastola kwenye ushahidi, ila la ugaidi wa kupindua nchi kwa kuchoma kituo cha mafuta! Ngumu kumesa, Rambo anatumia kabastola kuangamiza kikosi cha jeshi, ni maigizo ya sinema tu.
 
Hakuna udikiteta hakuna mabaya yasiyo na mwisho Duniani waliwepo akina magufuli, Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, Elibashiri, Idd Amin dada, chiluba, Abacha na wenzao wapo wapi leo?
jumlisha pia walikuwepo. Akina Yesu, mtume Muhammad. Nabii mussa. Mwl nyerere, Mzee Mandela. Lkn wako wapi Leo ?
 
Mwanzo walisahau kuweka bastola kwenye ushahidi, ila la ugaidi wa kupindua nchi kwa kuchoma kituo cha mafuta! Ngumu kumesa, Rambo anatumia kabastola kuangamiza kikosi cha jeshi, ni maigizo ya sinema tu.
Ni utawala wa kishetani kabisa
 
Vya jana havielei na havijaundwa kabsa ebu tuambie ni lini uhuru wa vyombo vya habari umepatikana Gazeti la Tanzania Daima lipo wapi?
Mimi sijazungumzia kuhusu vyombo vya habari, usilete vitu nje ya mada. Mada ni analysis ya Dotto Bulendo kuhusu interview ya Kikeke na Mhe Samia
 
Back
Top Bottom