Dotto Magari acha kabisa kutumia neno Ukimbizi kwa watu wa Kigoma

Dotto Magari acha kabisa kutumia neno Ukimbizi kwa watu wa Kigoma

Kigoma Region Tanzania

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
230
Reaction score
611
DOTTO MAGARI nakuonya, Koma kabisa kuendelea kumwita BABA LEVO mkimbizi, hii ni dharau ile ile ya kasumba kwa watu wa Kigoma popote pale wanapokua.

Waliokaribu nae wamfikishie, DOTTO anatakiwa kuonywa na kukemewa sio kuchekewa. Matani yao yasiguse maswala mama yanayo isumbua Kigoma na watu wake.

Nakushauri tanianeni kwa mambo mengine, kadhia ya uraia imeshatugharimu sana sisi watu wa Kigoma. Kuendelea kutumia upande huo elewa unatonesha hisia za watu wengi wa mkoa wa Kigoma.

Watu wameuwawa na wengine wamekosa haki zao hadi sasa kwa kadhia hiyo ya uraia, hivyo tafuta namna nyingine ya kumshambulia mwenzako mbali na jambo hilo.


1712432358090.png
 
Ila ukweli tu usemwe kuwa asilimia 90 wa watu wa kigoma Ni either Ni kutoka Burundi au congo Hilo halina ubishi na msibishe
Mm nimefanya Kaz kigoma kasulu ,kibondo na kakonko nillifika mahali nikastaajabu Sana kuona kijij kizima Ni watu kutoka Burundi na hawaogopi na hawajui madhara ya kujijira mtu congo

Ziwani kule kabwe ndio usipime Kuna diwani wa pale aliyefariki Ni mkongo yule na wakongo wengi wako mle na ndio njia kuu wakongo wanatumiaaa kuja Tanzania

Nina mengi nimeyaona ila leo nisiseme Zaid
 
Mtu kama yule pamoja na kwamba sio wa kumchukulia kwa uzito wowote lakini kuita mtu wa kigoma mkimbizi ni kuendelea kutia chumvi kwenye kidonda.

Watu wa kigoma wamekua victimized miaka na miaka kwamba sio watanzania kwa sababu ya muonekano wao ama mfanano wao na watu wa Burundi na Rwanda.

Huyo zoba akemewe kwa nguvu zote.
 
Tatizo lenu warundi mnapenda kujifanya wajuaje na viburi


Mugabhoo sijui wachuu unamaind kuambiwa ukweli???
 
DOTTO MAGARI nakuonya, Koma kabisa kuendelea kumwita BABA LEVO mkimbizi, hii ni dharau ile ile ya kasumba kwa watu wa Kigoma popote pale wanapokua.

Waliokaribu nae wamfikishie, DOTTO anatakiwa kuonywa na kukemewa sio kuchekewa. Matani yao yasiguse maswala mama yanayo isumbua Kigoma na watu wake.

Nakushauri tanianeni kwa mambo mengine, kadhia ya uraia imeshatugharimu sana sisi watu wa Kigoma. Kuendelea kutumia upande huo elewa unatonesha hisia za watu wengi wa mkoa wa Kigoma.

Watu wameuwawa na wengine wamekosa haki zao hadi sasa kwa kadhia hiyo ya uraia, hivyo tafuta namna nyingine ya kumshambulia mwenzako mbali na jambo hilo.


Warundi wamejificha humo
 
Back
Top Bottom