Dotto Magari acha kabisa kutumia neno Ukimbizi kwa watu wa Kigoma

Dotto Magari acha kabisa kutumia neno Ukimbizi kwa watu wa Kigoma

TENA WARUNDI NI WAJANJA KULIKO HATA WATANZANIA KWENYE KU STRUGGLING
MRUNDI AMEEANZA KWENDA ULAYA NA KWENGINEKO KABLA YA MTANZANIA
WALE KINACHOWAUMIZA NI KWAO HAKUNA STABILITY TU
MIAKA YA ZAMANI KUNA MJOMBA WANGU MMOJA ALIKUWA ANAFATA MAGARI HUKO NA KUYALETA TZ,
HUKU MAGARI YALIKUWA HAKUNA
EXPOSURE WALE WAMETUZIDI...
MTANZANIA MANENO MENGI TU...

OVA
Hata Marekani Warundi ni wengi kuliko watanzania, pale lusaka au kitwe mrundi ndio mfanyabiashara mkubwa na mwenye mafanikio, angalia huyo muha anavopambana akifika mjini atauza chungwa, dafu, vyombo atapaka wanawake rangi kesho akijenga na kua na duka kariakoo tunaanza sisi wazawa wakati hatuna kitu wakati huo anatufuatia bidhaa china na dubai anakuja kutupiga pesa kizembe
 
Dunia ilishahama kitambo leo mchina wa newforce ni mtanzania na anapiga kura na anafaidika kama raia wa kondoa, nyasa anavonufaika wewe endelea kupiga kelele hapo uone utavuna nini, kokoro la kila mtu duniani USA liko pale linakila aina ya mtu mwenye makaratasi na asie na makaratasi wote ni wanasaka american dream, kwahivo lazima tuchangamshe akili sema wengi wetu ndio hivo elimu za darasani zipo kichwani na elimu ya mtaa tuliwaachia mama zetu nyumbani
 
Acha ujinga, wale ni watanzania, wanaongea Kirundi lakini kumbuka kiha kinafanana na Kirundi kabisa, huu ujinga na ubaguzi wa kukosa maarifa utawamaliza nyie
Ujinga wanao waha wanaojipeleka kambi za wakimbizi kudowea ili wahudumiwe kama wakimbizi.
 
DOTTO MAGARI nakuonya, Koma kabisa kuendelea kumwita BABA LEVO mkimbizi, hii ni dharau ile ile ya kasumba kwa watu wa Kigoma popote pale wanapokua.

Waliokaribu nae wamfikishie, DOTTO anatakiwa kuonywa na kukemewa sio kuchekewa. Matani yao yasiguse maswala mama yanayo isumbua Kigoma na watu wake.

Nakushauri tanianeni kwa mambo mengine, kadhia ya uraia imeshatugharimu sana sisi watu wa Kigoma. Kuendelea kutumia upande huo elewa unatonesha hisia za watu wengi wa mkoa wa Kigoma.

Watu wameuwawa na wengine wamekosa haki zao hadi sasa kwa kadhia hiyo ya uraia, hivyo tafuta namna nyingine ya kumshambulia mwenzako mbali na jambo hilo.


Itapebdeza Kigoma ilipwaya uhuru wake wa kuitawala au kujiunganaidha na Congo au Burundi. Kwakua Kigoma imekua kero no vema ikatengwa na Watanzania wa Grade one.
Kigoma haikuwa sehem ya Tanganyika ya Mjerumani, kwahiyo ni kazi rahisi tu.
 
Watu wa Kigoma kwa kweli wamekuwa Wahanga wa kuitwa Wakimbizi au Warundi,Wakongo! Karne zinazokujua huenda Kigoma ikapigana kujitenga na kuwa nchi huru!
 
Huyo sijui Doto mbona namuona kama teja flani au kibaka flani aliyereform
 
mikoa ya mipakani Kigoma inaongoza kwa kuwa na warundi na wacongo,huko Kigoma mpaka wenyeviti na madiwani wa vijiji wapo wakimbizi,wanafinyiwa kwa ndani sababu wanaabudu CCM kuliko maelezo.
 
Ila ukweli tu usemwe kuwa asilimia 90 wa watu wa kigoma Ni either Ni kutoka Burundi au congo Hilo halina ubishi na msibishe
Mm nimefanya Kaz kigoma kasulu ,kibondo na kakonko nillifika mahali nikastaajabu Sana kuona kijij kizima Ni watu kutoka Burundi na hawaogopi na hawajui madhara ya kujijira mtu congo

Ziwani kule kabwe ndio usipime Kuna diwani wa pale aliyefariki Ni mkongo yule na wakongo wengi wako mle na ndio njia kuu wakongo wanatumiaaa kuja Tanzania

Nina mengi nimeyaona ila leo nisiseme Zaid
Asante hakuwa mkongo
 
Utamkuta mtu anakuambia kigoma syo tanzania basi kigoma iondolewe basi ktk ramani ya tz

Ova
Kigoma ni Tanzania, ila majority ya waishio siyo Tanzania sababu ya Mifumo mibovu ya Ujamiaji pia Rushwa na siasa.
Badala ya kupoteza muda na kuwasumbua na hizi habari za Uraia kwanini wasianzishe utarayibu wa kuwapatia uraia.
 
Ila ukweli tu usemwe kuwa asilimia 90 wa watu wa kigoma Ni either Ni kutoka Burundi au congo Hilo halina ubishi na msibishe
Mm nimefanya Kaz kigoma kasulu ,kibondo na kakonko nillifika mahali nikastaajabu Sana kuona kijij kizima Ni watu kutoka Burundi na hawaogopi na hawajui madhara ya kujijira mtu congo

Ziwani kule kabwe ndio usipime Kuna diwani wa pale aliyefariki Ni mkongo yule na wakongo wengi wako mle na ndio njia kuu wakongo wanatumiaaa kuja Tanzania

Nina mengi nimeyaona ila leo nisiseme Zaid
Una kiwango gani Cha elimu
 
Dunia ilishahama kitambo leo mchina wa newforce ni mtanzania na anapiga kura na anafaidika kama raia wa kondoa, nyasa anavonufaika wewe endelea kupiga kelele hapo uone utavuna nini, kokoro la kila mtu duniani USA liko pale linakila aina ya mtu mwenye makaratasi na asie na makaratasi wote ni wanasaka american dream, kwahivo lazima tuchangamshe akili sema wengi wetu ndio hivo elimu za darasani zipo kichwani na elimu ya mtaa tuliwaachia mama zetu nyumbani
Point yako kubwa ni ipi?
 
TENA WARUNDI NI WAJANJA KULIKO HATA WATANZANIA KWENYE KU STRUGGLING
MRUNDI AMEEANZA KWENDA ULAYA NA KWENGINEKO KABLA YA MTANZANIA
WALE KINACHOWAUMIZA NI KWAO HAKUNA STABILITY TU
MIAKA YA ZAMANI KUNA MJOMBA WANGU MMOJA ALIKUWA ANAFATA MAGARI HUKO NA KUYALETA TZ,
HUKU MAGARI YALIKUWA HAKUNA
EXPOSURE WALE WAMETUZIDI...
MTANZANIA MANENO MENGI TU...

OVA
Mkuu hilo halina ubishi, kwa mtz kusafiri anaona atapotea au kuibiwa
Hao jamaa wanapiga kazi haswa na ni haki yao waseme ni Waha ingawa sio waha
Waha walishindwa hata kupambana na funza
Ila jamaa wanaonewa sana na uhamiaji
Wanakuja kuwaamsha waliolala lakini unakuta jamaa wa uhamiaji kwa makusudi wanaingia kwa mfano sokoni kwenye maduka wanaanza kuwatia jambajamba na kuchukua hela kwa ulaghai
Yaani mtu mpaka kafika hapo na duka kubwa la hardware bado anaonewa tu

Wabongo kufanya kazi moja mfululizo ni ngumu anataka aibe ili apasue
Wenzetu walituharibia wakati walikuwa wanakuja na mabunduki ya jeshi na kuwauzia majambazi ili yatuue kwenye magari ya usafiri

Hapo ndio waliharibu sisi jambazi walikuwa ukipiga kelele anakimbia ila walopoleta AK47 daa wakawa wanaua tu

Ila Magu aliwamaliza
 
Take it easy Festus Bavumiragiye !!!
 
Back
Top Bottom