Dotto Magari acha kabisa kutumia neno Ukimbizi kwa watu wa Kigoma

Nuktulia nitandika Uzi had na video jins warundi walivyo jazana ktk nnchi hii
Mkuu kwa hilo halina utata kabisa wala hakuna anaebisha kuwa wamejazana
Lakini tuna borders na Immigration system pia lakini wanafadhiliwa na wenye tamaa
Hawawezi kujazana bila kuwa na lango la kuingilia
Na hilo ulitazame
 
Iondoeni kigoma ktk ramani ya tz sasa...ipeni kigoma rwanda au Burundi,kongo

Ova
 
Utamkuta mtu anakuambia kigoma syo tanzania basi kigoma iondolewe basi ktk ramani ya tz

Ova
 
Kigoma yote ni warundi tembea ujionee
 
Kigoma ipo mpakani na hata lugha wanayoongea inafanana na warundi, mipaka iliwekwa na mkoloni lakini sasa mnaitumia kuleteana chuki wenyewe Kwa wenyewe, then mkiitwa stupid mnakasirika
 
Acha ujinga, wale ni watanzania, wanaongea Kirundi lakini kumbuka kiha kinafanana na Kirundi kabisa, huu ujinga na ubaguzi wa kukosa maarifa utawamaliza nyie
Mijitu kama hiyo hawajasafiri hawaja vuka boda

Ova
 
Kigoma ipo mpakani na hata lugha wanayoongea inafanana na warundi, mipaka iliwekwa na mkoloni lakini sasa mnaitumia kuleteana chuki wenyewe Kwa wenyewe, then mkiitwa stupid mnakasirika
Sehemu zote za mipakani watu wanaingiliana miaka nenda rudi

Ova
 
Muingiliano na mipaka iliyochorwa na wakoloni inewaletea shida watu wa kigoma iwe kwenye kutafuta passport, iwe leseni , ajira za jeshi imekua shida nakubalk kua kunaeRaia wa Rwanda na Burundi waliojipenyeza Tanzania mikoa ya Katavi, geita na kigoma hiyo tena wanamiliki hadi ardhi na wanalima na kuoa kabisa na wengine wanafikia hatua ya kugombea uongozi hiyo sasa ni udhaifu wa vyombo vya ulinzi na usalama, kadhia la Tanzania kuwa kama uchochoro niliandika muda mrefu na mbinu wanazotumia watu hao kuingia na kuishi Tanzania ikiwamo kujifunza lugha kama kihaya, kisukuma na kadhalika
 
Koo za watu wa Rwanda, Burundi, Kibondo, kasulu, Kakonko na nyankole hufanana Kwa kila kitu na hata lugha za maeneo hayo ikiwapo wahangaza wa ngara huongea lugha moja yaani akiongea muha, muhangaza, mrundi, mnyarwanda, au mkimbizi wa mwesi au mishamo pale tabora ambao walishapewa uraia huelewana kabisa vizuri na kujibizana vyema kwahiyo muingiliano huo hufanya baadhi ya watu kuadhibiwa bila sababu
 
Na wengi walikuja tz kutokea Burundi kuajiriwa kwenye mashamba ya mikonge
Enzi za mkoloni

Ova
 
Ukifika songea utawakuta watu kutoka msumbiji wapo wanasaka fursa yaani tunduru, masasi, namtumbo kote huko wapo na hutumia style ya kujifunza lugha za wenyeji na kukaa, Arusha na Kilimanjaro hapo ni nyumbani Kwa mkenya na wanishi kinyemela wanaoa na ardhi wanamilki, Mbeya ndio kabisa mmalawi na mzambia amekaa bila shida na walinzi wengi wa jijini wanaojiita wanyakyusa ni wamalawi na mahouse girls wengi kutoka kyela wale ni wamalawi kutoka lilongwe waliojifunza kinyakyusa na wanatafuta mkate wao wa kila siku, Kagera hiyo Bukoba na visiwa vyake kumejaa mganda na mnyarwanda, lakini mambo mazuri tu wengine wapo kisheria wengine kiharamu ndio dunia ilivo
 
Tanga enzi hiyo kuna warundi wengi na wamanyema waliajiriwa Tanga kwenye mkonge au Tabora kwenye tumbaku kama alivosema mrangi hapo juu, interaction duniani bauwezi kuizuia, hivo kama fursa umeiona popote wewe ikamatie tu, ukianza wale wa kule wale wa kule utaumia kichwa bure
 
Mkuu kwa hilo halina utata kabisa wala hakuna anaebisha kuwa wamejazana
Lakini tuna borders na Immigration system pia lakini wanafadhiliwa na wenye tamaa
Hawawezi kujazana bila kuwa na lango la kuingilia
Na hilo ulitazame
TENA WARUNDI NI WAJANJA KULIKO HATA WATANZANIA KWENYE KU STRUGGLING
MRUNDI AMEEANZA KWENDA ULAYA NA KWENGINEKO KABLA YA MTANZANIA
WALE KINACHOWAUMIZA NI KWAO HAKUNA STABILITY TU
MIAKA YA ZAMANI KUNA MJOMBA WANGU MMOJA ALIKUWA ANAFATA MAGARI HUKO NA KUYALETA TZ,
HUKU MAGARI YALIKUWA HAKUNA
EXPOSURE WALE WAMETUZIDI...
MTANZANIA MANENO MENGI TU...

OVA
 
Enzi za ubaharia wakongwe wa bondeni, kuzamia meli kutaka kwenda ng'ambo nadhani mnakumbuka, hao wa asia, ulaya mashariki, wa west africa ambao hujitafuta ulaya na marekani mara uarabuni kusaka maisha undhani hawana kwao sema dunia hii kama hujatembea utabaki wewe wenzako wanasonga
 
Hii mijitu ambayi kutwa iko ndani tu hawatoki uelewa wao huwa ni mdg

Ova
 
Kwa tuliyokulia familia zA mabaharia hilo tunalielewa sana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…