Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
SawaSawa sisi tupo tunawazoom tu na Magari yakeNaona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.