SawaSawa sisi tupo tunawazoom tu na Magari yakeNaona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.Kimfaacho mtu chake
Good commentKimfaacho mtu chake
Kwahiyo mkuu umeamua ukopi kabisa hiyo comment yako kwa ajili ya kila mwenye ist 😂😂😂Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
Unauliza Kutekwa na Kuuwawa Tanzania?Kwahiyo mkuu umeamua ukopi kabisa hiyo comment yako kwa ajili ya kila mwenye ist 😂😂😂
Dua la Kuku halimpati Mwewe.Huyu mwache ajisahau tu, baada ya miak miwil atapand boda.. amuulize piere liquid yuko wap
Kwanini unasubiri aumwe?Mwambie hivi tunasubiri aumwe kumbavu zake aumwe ndio tutajua simu hio au ufuluensa ndio utampa matibabu au atatembeza bakuri nyambufu
Kwanini na yeye asiombee wengine mazuri anaishi kuwasema vibaya tu?Kwanini unasubiri aumwe?
Kwanini usimwombee uzima?
Ana IST huyo Mkuu lazima amchukie Dotto Magari na amuombee mabaya akisahau kuwa anaweza kutangulia Kuumwa Yeye na hata Kufa kabla yake.Kwanini unasubiri aumwe?
Kwanini usimwombee uzima?
Mkuu hasira zote hizi kwa Dotto Magari ni kwasababu tu kawachaneni Watu ambao mnamiliki hizi Gari Jezi Tz za IST?Kwanini na yeye asiombee wengine mazuri anaishi kuwasema vibaya tu?
Kwani kuna Mtu alikulazimisha ununue Gari yako hiyo ya IST? Kwanini hukununua Benz au V8 VX au mengineyo ya Gharama?Daah huyo jamaa ana dharau sana hivi huyo Dotto ni yule Tura wa magomeni mapipa tulimwacha anasota tu leo hii nae anatoa maneno ya kejeli kila kukicha...