GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #141
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.Nakuelekeza tu wewe pamoja na huyo mwenzio,unapokuja kujitamba kuhusu kumiliki magari kwanza toka kwenye matumizi ya toyota na second hand cars vinginevyo na wewe ni takataka tu.