Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

Nakuelekeza tu wewe pamoja na huyo mwenzio,unapokuja kujitamba kuhusu kumiliki magari kwanza toka kwenye matumizi ya toyota na second hand cars vinginevyo na wewe ni takataka tu.
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
manyuzi ya hivi huwa yanaruhusiwaje humu JF. yana tija gani kwetu sisi wanajamii
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
Swadakta.
IST kumbe ni choo kinachotembea.

Haya wakamateni basi
 
Wenye akili timamu na wenye pesa huwa haropokwi .kuna matajiri kibao wanaendesha ndinga kali hukuti wakijisifu upuuzi huu .kuta jinga moja ambalo hata shule halikwenda kutoa ujinga kapata gari kwa ngekewa tena alikuwa anauza ya wenzie kapata kwa bahati kutwa kukashifu wenzie ..kukandia wasomi as If yeye ndio wa kwanza kupata na anaakili nyingi mno kuwashinda wengine..dunia duara atulize domo
 
N
"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.

Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Ng'ombe ni ng'ombe tu mradi ana miguu minne!
 
"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.

Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Mtu akishashiba viazi tu anasahau suruba za hii Dunia anyway nikikukuta road nitakupa lift na IST yangy
 
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
Wewe una range au private jet ndugu Genta.
 
Kwani kuna shida gani mtu akimiliki IST?

Dotto kuna siku hizi dharau zako utatamani siku zirudi nyuma ufute kila neno ulilotoa.
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Wenye akili timamu na wenye pesa huwa haropokwi .kuna matajiri kibao wanaendesha ndinga kali hukuti wakijisifu upuuzi huu .kuta jinga moja ambalo hata shule halikwenda kutoa ujinga kapata gari kwa ngekewa tena alikuwa anauza ya wenzie kapata kwa bahati kutwa kukashifu wenzie ..kukandia wasomi as If yeye ndio wa kwanza kupata na anaakili nyingi mno kuwashinda wengine..dunia duara atulize domo
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Mtu akishashiba viazi tu anasahau suruba za hii Dunia anyway nikikukuta road nitakupa lift na IST yangy
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Back
Top Bottom