Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
I don't trust Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika alisema hatawaondoa wabunge wa covid 19 kwa sababu wanasima watakwenda mahakanani!! (Si kwa sababu wameenda mahakamani na mahakama imeshatoa zuio!!). Alitoa maamuzi hayo kwa kusikia tu bila amri yoyote ya mahakama!!Mbatia bado hajaenda mahakamani.
Endapo ataenda mahakamani kina Halima Mdee,ndio unaweza ona hiyo amri ya zuwio.
Fanya utafiti kabla ya kukimbilia Post.
Mbatia binafsi ameita Press conference na kuongea mlolongo wa mawasiliano yake na msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi.
Ambae yuko Dodoma na anatarjia kurudi Dar es salaam na kukutana na mbatia ili kuujua mustakabali kamili.
Vuta subira.
hakuna mtu naye mchukia kwa sasa kama halima mdee, ameendelea kuwa mwizi wa pesa za Jamhuri Ya Tanzania akishirikiana na cheusi mangala kwa sasaMsajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:
"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"
Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
CCM kweli ni wapuuzi snCCM wajinga sana hawaogopi fukuto la moto kisa halijawahi kuwaletea madhara,historia vichwani mwao imemezwa na tamaa za madaraka.
NCHI ya AJABU sana Sakata la Wabunge 19 waliofukuzwa Chadema lakini Wapo BUNGENI kinyume na KATIBA Msajili wa Vyama Hataki kabisa kupaza SAUTI amekaa Kimya kwa sababu UCHAFU wote ALISHIRIKIMsajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:
"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"
Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:
"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"
Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
Hata spika hakuwa na court order inayomzuia kutotambua uanachama wa chadema wa wabunge wa covid 19. Alisema kuwa amesikia wameenda mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama!!Ukitaka kulinganisha vitu, hakikisha unafanya apple-to-apple comparison. Kuna court order yoyote inayomzuia Msajili kutambua Mbatia kuvuliwa uwenyekiti na chama chake?
Mbatia alijichanganya mwenyewe kupokea watu kutoka chadema na kuwapa uongozi haraka.
Marta Chiomba 2015 aligombea udiwani kawe kupitia cdm, alipohamia NCCR ghafla amekuwa katibu mkuu,
Selasini alikuwa mbunge Cdm, ndie ametoa taarifa ya kumtimua Mbatia a.k.a mama Tanzania
Hata spika hakuwa na court order inayomzuia kutotambua uanachama wa chadema wa wabunge wa covid 19. Alisema kuwa amesikia wameenda mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama!!
Yure mupe.. Yure murukeMsajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:
"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"
Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?