Double Standard bila soni: Mbatia kutojihusisha na NCCR hadi itakapoamuliwa vinginevyo, Wabunge 19 kujihusisha hadi itakapoamuliwa vinginevyo

Double Standard bila soni: Mbatia kutojihusisha na NCCR hadi itakapoamuliwa vinginevyo, Wabunge 19 kujihusisha hadi itakapoamuliwa vinginevyo

Mbatia bado hajaenda mahakamani.
Endapo ataenda mahakamani kina Halima Mdee,ndio unaweza ona hiyo amri ya zuwio.

Fanya utafiti kabla ya kukimbilia Post.

Mbatia binafsi ameita Press conference na kuongea mlolongo wa mawasiliano yake na msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi.

Ambae yuko Dodoma na anatarjia kurudi Dar es salaam na kukutana na mbatia ili kuujua mustakabali kamili.

Vuta subira.
Spika alisema hatawaondoa wabunge wa covid 19 kwa sababu wanasima watakwenda mahakanani!! (Si kwa sababu wameenda mahakamani na mahakama imeshatoa zuio!!). Alitoa maamuzi hayo kwa kusikia tu bila amri yoyote ya mahakama!!
 
Mbatia alijichanganya mwenyewe kupokea watu kutoka chadema na kuwapa uongozi haraka.
Marta Chiomba 2015 aligombea udiwani kawe kupitia cdm, alipohamia NCCR ghafla amekuwa katibu mkuu,
Selasini alikuwa mbunge Cdm, ndie ametoa taarifa ya kumtimua Mbatia a.k.a mama Tanzania
 
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"

Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
hakuna mtu naye mchukia kwa sasa kama halima mdee, ameendelea kuwa mwizi wa pesa za Jamhuri Ya Tanzania akishirikiana na cheusi mangala kwa sasa
 
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"

Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
NCHI ya AJABU sana Sakata la Wabunge 19 waliofukuzwa Chadema lakini Wapo BUNGENI kinyume na KATIBA Msajili wa Vyama Hataki kabisa kupaza SAUTI amekaa Kimya kwa sababu UCHAFU wote ALISHIRIKI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"

Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?

Ukitaka kulinganisha vitu, hakikisha unafanya apple-to-apple comparison. Kuna court order yoyote inayomzuia Msajili kutambua Mbatia kuvuliwa uwenyekiti na chama chake?
 
Alafu wakati wa kupiga kura mnajazana kwenye mistali wkt hali halisi ndiyo hii.

Mtu fulani anakwambia eti ni 'haki yako' kwa mfumo upi haki yangu inatoa majibu stahiki?.
 
Ukitaka kulinganisha vitu, hakikisha unafanya apple-to-apple comparison. Kuna court order yoyote inayomzuia Msajili kutambua Mbatia kuvuliwa uwenyekiti na chama chake?
Hata spika hakuwa na court order inayomzuia kutotambua uanachama wa chadema wa wabunge wa covid 19. Alisema kuwa amesikia wameenda mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama!!
 
Chai ya asali na viandazi vya Dr Bashiru Ally vimegharimu uenyekiti wa miaka 22 wa James Mbatia

uroho sio kitu kizuri2
 
Hata Mbowe chupuchupu aporwe chama na Sumaye kama sio kina X Mayor Jacob
Mbatia alijichanganya mwenyewe kupokea watu kutoka chadema na kuwapa uongozi haraka.
Marta Chiomba 2015 aligombea udiwani kawe kupitia cdm, alipohamia NCCR ghafla amekuwa katibu mkuu,
Selasini alikuwa mbunge Cdm, ndie ametoa taarifa ya kumtimua Mbatia a.k.a mama Tanzania
 
Hata spika hakuwa na court order inayomzuia kutotambua uanachama wa chadema wa wabunge wa covid 19. Alisema kuwa amesikia wameenda mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama!!

Kwahiyo tuseme wewe hujaiona restraining order ya Mahakama Kuu?
 
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"

Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
Yure mupe.. Yure muruke
 
Back
Top Bottom