Double Standard: Kwa mwaka huohuo mmoja wa kalenda, Sherehe za Mapinduzi Zanzibar sawa, ila Sherehe za Uhuru wa Tanganyika hapana

Double Standard: Kwa mwaka huohuo mmoja wa kalenda, Sherehe za Mapinduzi Zanzibar sawa, ila Sherehe za Uhuru wa Tanganyika hapana

Kididimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
4,153
Reaction score
3,800
Kwa maoni yangu, hili halijakaa sawa.

Sherehe hizi ni za Wananchi au ni za Viongozi tuliowaweka madarakani? Je, bila kufanya kinachosemekana ni Kitaifa pale uwanja wa Uhuru, nchi imekosa njia ya namna huku vijijini Matombo wananchi tukasherehekea?

Wadau naombeni maoni yenu,tuishauri Serikali yetu.
 
Kwa maoni yangu, hili halijakaa sawa.
Sherehe hizi ni za Wananchi au ni za Viongozi tuliowaweka madarakani? Je, bila kufanya kinachosemekana ni Kitaifa pale uwanja wa Uhuru, nchi imekosa njia ya namna huku vijijini Matombo wananchi tukasherehekea?

Wadau naombeni maoni yenu,tuishauri Serikali yetu.

Maza yuko Mapumziko KIZIMKAZI. Atakuwa amechoshwa na shughuli na safari nyingi .... Hata Angola amemtuma Vice wake....!!
 
Kwa maoni yangu, hili halijakaa sawa.

Sherehe hizi ni za Wananchi au ni za Viongozi tuliowaweka madarakani? Je, bila kufanya kinachosemekana ni Kitaifa pale uwanja wa Uhuru, nchi imekosa njia ya namna huku vijijini Matombo wananchi tukasherehekea?

Wadau naombeni maoni yenu,tuishauri Serikali yetu.
Mapinduzi ni matukufu
Cc Mohamed Said
 
Back
Top Bottom