Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo tukae kwakutuliaBila shaka.
Huenda ukawa uko sahihi. Hivi pale yule marehemu alipoahirisha alikuwa MZANZIBARI? Au kwa kuwa hakuwa Mzanibari yeye alikuwa sawa? Naye alikuwa Chura wa Kitanganyika? Au tuseme umesahau, ulikuwa kiziwi, kipofu au ulikuwa bubu?Wazanzibari wabinafsi sana tumefanya makosa makubwa sana kukabidhi nchi kwa chura wa kizanzibari na bado tutaisoma
Msilalamike! Bimkubwa wenu atatoka tu! Halafu mtafurahia show!Wewe Mtanganyika(Chogo) ni koloni la Zanzibar, pigania uhuru kwanza ujikomboe kutoka katika makucha ya utawala wa Kizanzibari ndipo uje kujipanga jinsi ya kusherehekea uhuru kwa namna uonavyo inakufaa.