Hili swala la bandari na waarabu wa Dubai,Kuna wakristo hawalipendi kwa vile TU mwekezaji ni mwarabu!na Kuna waislam wanalipenda kwa vile TU ni mabwana zao wa kidini,Arabs!Hawa wote ni wajinga,
Kipindi Cha Maghu,na ukatili wake,wakatorik hawakusema kitu,kwa vile alikuwa mkatorik mwenzao,
Hizi bandari kama angekuwa amepewa Israel,au itary/vatican,au USA,Hawa wajinga kwenye ukristo wangekaa kimya,kwa sababu,ulayana uSa zinajipambanua kama ni judeo Christianity,nchi za kikristo,na Hawa wajinga wangeona ni Bora TU hata kama nchi inaibiwa,iibiwe TU as long as mwizi ni mkristo mwenzao,
Nimemsikiliza Aliyeongoza makubaliano,Hamza Johari,amefafsnua vzr TU,vitu vinaeleweka,hakuna Cha waarabu wameiba,ni uwekezaji,tatizo ukisha umwa na nyoka,ccm kwa muda mrefu wamekuwa majizi,
Kwa Swala la Bandari ni Bora kuwasikiliza watu makini,sio spin doctors,watu baised wenye maslahi Yao binafsi,
Na kwa ccm kama kitu ni kzr,hakitakiwi kuwa kigumu kukifafsnua,nendeni live Azam tv mtoe maelezo,na mpigwe maswali kutoka kwa Fstma Karume na Lisu,