Wachina huwa tunawaita Wachina pia lakini hatusikii haya malalamiko kwamba ya udini kuwahusu wao, Wazungu waliitwa mabeberu katika awamu iliyopita.Huu ushauri unawafaa wale wanaoandika "Bandari asipewe Mwarabu" hapa inakua hawaeleweki kua tatizo lao kumbe ni kupewa Waarabu? Mtu badala ajikite na kuchambua content za mkataba anabaki kuandika chuki tu!
Unaposema asipewa Mwarabu ina maana kuna mwingine wewe unaona ni bora zaidi,wala haihitaji akili kubwa kutambua hilo.
Pengo na TEC ni wadini wanatetea udini na msalaba Wala hawakemei maovu akitawala mgalatia mwenzao waislam tumelala sana lakini naamn ipo siku huu upuuzi utajibiwa hii nchi siyo ya wagalatia peke yako.
Friends and Enemies,
In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa, ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuzi ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake, hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.
PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kiasi kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.
Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamizi uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndani ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa, hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.
Sasa kitu kinachofikirisha, pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndani ya Taifa hili?
Nini kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Watupe majibu hawa PENGO na TEC,kwanin walikuwa mabubu during Benjamin Mkapa and Magufuli Regime??
Kosa moja halihalalishi kosa lingine,elewa hilo kwanza.Wachina huwa tunawaita Wachina pia lakini hatusikii haya malalamiko kwamba ya udini kuwahusu wao, Wazungu waliitwa mabeberu katika awamu iliyopita.
Hili swala la bandari na waarabu wa Dubai,Kuna wakristo hawalipendi kwa vile TU mwekezaji ni mwarabu!na Kuna waislam wanalipenda kwa vile TU ni mabwana zao wa kidini,Arabs!Hawa wote ni wajinga,Friends and Enemies,
In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa, ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuzi ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake, hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.
PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kiasi kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.
Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamizi uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndani ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa, hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.
Sasa kitu kinachofikirisha, pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndani ya Taifa hili?
Nini kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Hili swala la bandari na waarabu wa Dubai,Kuna wakristo hawalipendi kwa vile TU mwekezaji ni mwarabu!na Kuna waislam wanalipenda kwa vile TU ni mabwana zao wa kidini,Arabs!Hawa wote ni wajinga,
Kipindi Cha Maghu,na ukatili wake,wakatorik hawakusema kitu,kwa vile alikuwa mkatorik mwenzao,
Hizi bandari kama angekuwa amepewa Israel,au itary/vatican,au USA,Hawa wajinga kwenye ukristo wangekaa kimya,kwa sababu,ulayana uSa zinajipambanua kama ni judeo Christianity,nchi za kikristo,na Hawa wajinga wangeona ni Bora TU hata kama nchi inaibiwa,iibiwe TU as long as mwizi ni mkristo mwenzao,
Nimemsikiliza Aliyeongoza makubaliano,Hamza Johari,amefafsnua vzr TU,vitu vinaeleweka,hakuna Cha waarabu wameiba,ni uwekezaji,tatizo ukisha umwa na nyoka,ccm kwa muda mrefu wamekuwa majizi,
Kwa Swala la Bandari ni Bora kuwasikiliza watu makini,sio spin doctors,watu baised wenye maslahi Yao binafsi,
Na kwa ccm kama kitu ni kzr,hakitakiwi kuwa kigumu kukifafsnua,nendeni live Azam tv mtoe maelezo,na mpigwe maswali kutoka kwa Fstma Karume na Lisu,
Pitia hapa utuambie walikua wanampinga NANI?WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini
Kanisa Katoliki Tanzania limetoa waraka kwa ajili ya kuwaandaa waamini wake kwa ajili ya kipindi cha Toba, kinachoanza rasmi Jumatano ijayo tarehe 14 Februari 2018 [ambayo ndiyo siku ya wapendanao, Valentine. tusherehekee kwa Toba eeeh tafadhalini!]. Kipindi hicho hujulikana pia kama...www.jamiiforums.com
Kwanza tangaza your personal interest. Wewe THE BIG SHOW ni mdini?Friends and Enemies,
In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka THE sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa, ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuzi ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake, hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.
PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kiasi kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.
Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamizi uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndani ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa, hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.
Sasa kitu kinachofikirisha, pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndani ya Taifa hili?
Nini kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Ajenda ya udini haina maana yoyote.
Ajenda iliyopo ni Samia kuuza bandari yetu.
Akauze ya kwao Zanzibar.
Waliopigania uhuru wa Tanganyika ni Waislam leo hii nyie ndio mnajifanya mna uchungu sana. Mafisadi wakubwa nyie.Yani ninyi msubiri raisi afe mrithi ndio mnajiona wamiliki wa Tanganyika!?
Kweli ninyi ni matabla lasa
Rais wa TEC anayeitwa SEVERINE NIWEMUGIZI wa LURENGE alimkosoa dikiteta magufuli jizi la kura hadi akaitwa na uhamiaji na kunyang'anywa passport yake ya kusafiria, nyie wavaa makobaz mnaujinga mwing sana hata hamuelewi mnachopigania.Weka evidence ya TEC ikimkosoa JPM tuone
Hayajawahi kuwa na akili haya majinga.
Kati ya hiyo mikataba iliyofanyiwa review upo usio na kikomo kama huu wa kinyonyaji wa bandari?AU hujui kwamba magufuli aliifanyia reviw yote hadi wazungu wakatishia kususa na kutushitaki na hili pia hujui?? Hujui kabudi pia alifanya kazi gani kwenye mikataba ya migodi?? Sasa tunjadili nini kama mtu mwenyewe hujui chochote hadi vitu obvius pia unabisha
Umeshawekewa, punguzeni mihemko.Mkuu tuwekee waraka wa TEC dhidi ya Magufuli ili sisi tuliosahau tukumbuke.
Huyu alimkosoa yeye kama yeye. Tuwekee tamko rasmi la TEC dhidi ya Magufuli.Rais wa TEC anayeitwa SEVERINE NIWEMUGIZI wa LURENGE alimkosoa dikiteta magufuli jizi la kura hadi akaitwa na uhamiaji na kunyang'anywa passport yake ya kusafiria, nyie wavaa makobaz mnaujinga mwing sana hata hamuelewi mnachopigania.
Pitia waraka uliotolewa na tec KATIBU mkuu akiwa marehemu fr dr SabaWeka evidence ya TEC ikimkosoa JPM tuone
Wewe tuwekee humu huo waraka sisi hatujawahi kuuona.Pitia waraka uliotolewa na tec KATIBU mkuu akiwa marehemu fr dr Saba
Mbona nyie ( hasa wewe) Rais akiwa mkristo mnapotea ila akija dini yetu ile mnaibuka na kuanza kuitetea kama hivi? Awamu ya 4 uliigeuka kwenye issue ya gas ya Mtwara tu ila tunajua ni Lumumba promax...